Ushauri: Division Four ya Pointi 38 Itamsaidiaje?

SHIEKA

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2011
Posts
8,240
Reaction score
4,265
Wadau wa Jukwaa la Elimu hamjambo?
Mtoto wa dadangu (msichana) alifanya mtihani wa form 4 mwaka 2013
na kuibuka na matokeo yafuatayo:
civics - D
Hist. - E
Geog - E
Kisw - C
Eng - C
Biol - E
Maths - F
Jumla ya points ni 38.
Sasa huyu mtahiniwa kwa matokeo haya ataweza kwenda wapi (ie kozi nk)?
Naomba ushauri wandugu.
 
Hizi grades za mulugo zinachanganya matokeo yake hata tunashindwa kujua
qualification za vyuo zinaishia ngapi eeeh
 

mkuu huyo sio mtahiniwa tena.


but mpeleke vyuo vya utumishi i.e mtwara coz kafaulu hio kiswahili na English
 

Lzm asome short course
 
The best alternatve ni atafte credt ya 3 then aendelee na advance.Result yake iko poa,aresit History,Geo na Civics.Tafadhal mcmpeleke huko kwny hotel management,human resourc managmnt,bussness adm etc.Apge shule kwnz,always a short cut is a wrong cut,
 

Ujasiriamali hakuna kozi ya failures like her,,,poleni sana
 
Duh mkuu kwa hizo grade mpya sielewi kabsa kama kafaulu au failue
 
aje kusoma The roman's college mawasiliano zaidi nipm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…