Job Richard
JF-Expert Member
- Feb 8, 2013
- 3,876
- 2,190
- Thread starter
-
- #21
duuuh hata nae anadai doctor kamwambia afadhali ya yeye nashukuru sanaHeri wewe ana miezi 11, kuna mmoja alipata baada ya miezi 3 na still akazaa vizuri kwa operation ya pili ndani ya miezi 12.
Asante sana mkuu nashukuru kiukweli ushauri umemtuliza natanguliza shukrani mkuuMleta mada next time mtumie uzazi wa mpango uwe na huruma kwa mkeo, though atazaa salama ila kwa operation na inabidi awe karibu na Dr ili awahishwe operation. Namhuhurumia huyo mama operation inauma balaa maana kidonda kwa ndani kinachukua two years had kupona tena kwa wafanya mazoezi. Nyie kuwe karibu na ma gyno had atakapojifungua
Wanazikimbia ujue mkuu kama umeoa hata mimi binafsi situmii labda kama kuna njia isiyo na madhara ipi hiyo niingie pia maana nimeshuhudia live kwa wenzangu wake zao wakikosa period hadi kupata uvimbe wa kizaziUsimfanyie hivyo mwenzio ..
Tumia njia za uzazi wa mpango, zaa kistaharabu.
huenda ilikukuta ukiwa umekuza mtoto mkuu miezi 11 michache sanaAtajifungua tu mkuu! Kwa sasa aendelee kunyonyesha mpk anapokaribia kujifungua ila akae karibu na hosp na awe anamwona daktari mara kwa mara. Hiyo ilishawahi kunikuta
Mtoto mtapata vzuri kabisa maana hyo ni karibia mwaka though kidonda hakijapona vzuri. Jitahidini awe karibu na dr na asisubirishwe had uchungu umpate maana inaweza kuleta uterus Ku rupture mkuu. Yote msisahau maombi ni muhimu all the best kwenye kusubiria baraka ya kichanga.Asante sana mkuu nashukuru kiukweli ushauri umemtuliza natanguliza shukrani mkuu
Amen na asante sana mkuu nashukuru sana kadai hata doctor kamsahuri hivyo asisubirie uchungu kwa afya yake thanks sana imemfikiaMtoto mtapata vzuri kabisa maana hyo ni karibia mwaka though kidonda hakijapona vzuri. Jitahidini awe karibu na dr na asisubirishwe had uchungu umpate maana inaweza kuleta uterus Ku rupture mkuu. Yote msisahau maombi ni muhimu all the best kwenye kusubiria baraka ya kichanga.
Wanazikimbia ujue mkuu kama umeoa hata mimi binafsi situmii labda kama kuna njia isiyo na madhara ipi hiyo niingie pia maana nimeshuhudia live kwa wenzangu wake zao wakikosa period hadi kupata uvimbe wa kizazi
Zipo njia nyingi, waendee wataalamu wa afya wata kusaidia ipi ni njia bora ya kupanga uzazi.
Kuna watu wachache wajinga wanapotosha kuhusu uzazi wa mpango, msiwasikilize.
Waoneni wataalamu wa afya.