Ushauri: Eneo la kufanya stationery na jinsi ya kuboresha biashara hii

Ushauri: Eneo la kufanya stationery na jinsi ya kuboresha biashara hii

Shida sio mkoani shida ndo kwanza naanza alafu niende mkoani kwahiyo ntaanza kupanga while huku nakaa home buree

ule usemi mwanzo ni mgumu watu wanaogopa sana.hizo kazi wenzako tulisema hivo ila tumekuja kushtuka walianza wapo mbali alafu unang'ang'ana na mjini .kama mtaji ni mdogo jikite mkoani kwa kazi hiyo inalipa na unaweza kutoka haraka truth. nipo mkoani
 
"location ndio mchawi"
Ukichagua location ya maeneo ya chuo mzunguko ni mzuri kiasi kwa sababu ya utitiri wa stationary nyingine. Changamoto, likizo ndefu za chuo utaishia kuangalia series ma movies kwenye pc yako, coz hakuna wateja.

Ukichagua location ya mtaani au karibu na ofisi au tasisi zisizo za kielimu, wateja ni wa kudunduliza sana lkn wapo siku zote. Hapa utapata wananchi wanaotaka kuandikiwa nyaraka mbalibali, huduma ya passport size,.

Utitiri wa wenzako wanaofanya biashara moja usikutishe kamwe. Kila mmoja ana kitu kinachomtofautisha na mwingine ambacho kinavuta wateja wa aina fulani. Zingatia kauli nzuri, spidi ya kutoa huduma, ubora wa huduma,...
 
Mkuu 3M ni kidogo sana,kwa ushauri wangu Fanya haya yafuatayo angalau huo mtaji wako ukusukume,nunua Epson l850 hii mashine inafanya kazi zote yaani printing,photocopy na scanning ( tafadhari usipuuze hili) kwa takribani shilingi 1.000.000/= ukienda kariakoo , nunua laminating machine kwa sh 120,000/= nunua computer au laptop ya shilingi 400,000/= meza na kiti kwa nagalau sh 150,000/= na mwisho nunua subwoofer kwa sh 150,000/= maana unaweza kufanya biashara ndani ya biashara kwa kuwa unarusha nyimbo na movies

Jumla ya pesa ni takribani 1.820.000/= kwa hela yako utakuwa umebakiwa na sh 1.180.000/=

Hivyo Baada ya hapo nunua mahitaji ya steshenari kwa kuanza na
Limu A4 angalau katoni 3 kwa almost 150.000/
Karatasi za kusafishia picha 4 by 6;5 by 7 na A4/ kwa gharama ya sh 250.000 pia nunua laminating pouch kwa katoni walau 3. Nk

Nimechoka kuandika.ila anzia hapo
kamanda umemchamganulia vyema ila kwenye lamination atafute tu ya 90k hadi au 80k maana kimsingi hazina utofauti.
 
ule usemi mwanzo ni mgumu watu wanaogopa sana.hizo kazi wenzako tulisema hivo ila tumekuja kushtuka walianza wapo mbali alafu unang'ang'ana na mjini .kama mtaji ni mdogo jikite mkoani kwa kazi hiyo inalipa na unaweza kutoka haraka truth. nipo mkoani
Mkuu, naomba nicheck PM
 
Back
Top Bottom