Ushauri: Ex wangu anaomba turudiane

Mapenzi upofu😂
Kuna moments akizikumbuka ana feel so happy na uyo mzee Jei Jei inabid arudishe majeshi nyuma tu yey anamuona Jei Jei husband material Ila Sasa mzee Jei Jei anamuona mwamba Kama..........
Naomba kuwasilishaa 🙏
Mzee amalize uzee wake kwa amani amuachie binti nae afurahie ujana kwarahaa zakee!!
 
Mimi mtaalamu wa mahusiano nasema hiviii. X harudiwi kamweeee. X huwa anarudiwa kwa emergency za siku moja moja na sio kurudisha mahusiano ya future.

Hakuna mtu amewahi rudiana na X na maisha yakarudi kama mwanzo. Ulichonifurahisha hukubeba mimba maana sasa ivi ungekua single mother na soko lingekua limeshuka.

Nakushauri: Kama ni bint mzuri mwenye maadili yako, tafuta size yako bana. Mbona tupo tunaotafuta wake?

Otherwise sisi ni washika pembe tu, maamuzi unayo wewe.

Good luck [emoji106]
 
Mkuu unanitoa machozi.....usimtaje mama yangu pls. Na kqa mdomo wake baada ya kuona nimeanza kaz aliniambia huyu mwanaume hakufai atakusumbua sana. Achana nae
Naendelea kusoma comments, ushauri: Fuata maelekezo ya mama, usiende kwa emotional tumia akili.
 
Ila sijaona kosa kubwa sana la huyo J kwa kweli
 
Hahaha kwan unajua mabwana wangu wangapi kaka mzuri?

Hahah mimi ni msomaji tu wa vitu huwa mnaandika, nami kuhifadhi kumbukumbu...

We Nakadori chukua tu huo ushauri...😁😁
 
Ingekua ni mimi kama nimefanikiwa kumsahau na kumove on basi nisingerudi nyuma

Ningesonga mbele kwakweli

Zoezi la kumsahau mpenzi ni gumu sana

Ila ukifanikiwa kumsahau usitake kurudi ulipotoka aise

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Nimekumiss....

Sent from my vivo 1906 using JamiiForums mobile app
 
Tuishi humohumo tu maisha ndio hayahayaaa!!

Wacha tumshauri Huyu Mwamba anataka kurudisha majeshi kwa kizee chake seems huwa kinamkosha sana kunako kiasi cha kumfanya binti asiwe nahamu tena na wengine anaokutana nao!!
Mambo ya gari bovu kukokotwa na zima😀
 
Nakadori alipenda mume wa mtu, na hatimaye akachumbiwa kabisa...

Wakaachana, ila sasa Nakadori kakutana tena na bwana na inaonekana bwana kampiga saundi za kurudiana...

Sasa Nakadori anauliza, je arudiane na huyo 'mume wa mtu'?
Asante sana Watu8 umenisaidia kusoma thread ndani ya sekunde 20.
 
Mapenzi yanaumiza mno na mazoea ndo yanakutesa lakini jipe muda utasahau kabisa ila kurudisna na mtu aliyekuumiza umejiuliza utakuta nn kimebadilika?
 
Hahah mimi ni msomaji tu wa vitu huwa mnaandika, na kuhifadhi kumbukumbu...

We Nakadori chukua tu huo ushauri...😁😁
Yeye pia alikuwa sababu ya mm kufanya nliyofanya...ila sasa najirudi kaka angu.
 
Wakati takwimu mbalimbali zikionyesha mimba shuleni, vyuoni zikipungua, Mwananchi limebaini kuzuka kwa mbinu mpya haramu za utoaji mimba ambapo dawa zilizotengenezwa maalumu kutibu magonjwa ya aina fulani, ndizo zinazotumika kinyume kufanikisha vitendo hivyo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…