Ushauri: Ex wangu anaomba turudiane

Ushauri: Ex wangu anaomba turudiane

Shogaangu usirudi nyuma japo mapenzi ya kuanza upya Yana changamoto hadi umzoee mtu ila kwakuwa umeamua kusonga mbele songa tu....halafu it seems huyo J anakuficha mengi sana unaona alivyokulazimisha usilale msibani...itsa red flag run...
 
Shogaangu usirudi nyuma japo mapenzi ya kuanza upya Yana changamoto hadi umzoee mtu ila kwakuwa umeamua kusonga mbele songa tu....halafu it seems huyo J anakuficha mengi sana unaona alivyokulazimisha usilale msibani...itsa red flag run...
Yeah ni liongo sana halijawah kuongea ukweli. Na libinafsi sana
 
Pole sana Nakadori mapenzi ni hadithi nzuri iliyo na milima na mabonde. Kuna mda mnakuwa na hali ngumu sana na kuna mda mambo yanaende vema. Ikishindikana kabisa ili kuweka amani lazima tu kujiondoa ili uwe na amani.
Mwisho maamuzi ya mapenzi jaribu kuusikiliza zaidi moyo wako kuliko kusikiliza washauri. Pole sana kwa yaliyokukuta umepitia njia ngumu sana ya mapenzi
 
Pole sana Nakadori mapenzi ni hadithi nzuri iliyo na milima na mabonde. Kuna mda mnakuwa na hali ngumu sana na kuna mda mambo yanaende vema. Ikishindikana kabisa ili kuweka amani lazima tu kujiondoa ili uwe na amani.
Mwisho maamuzi ya mapenzi jaribu kuusikiliza zaidi moyo wako kuliko kusikiliza washauri. Pole sana kwa yaliyokukuta umepitia njia ngumu sana ya mapenzi
🙏🙏
Thanks kwa muda wako uliotumia kunishauri
I appreciate
 
Kwani Naka tangu uachane nae hujapata wa kuziba pengo lake?
 
Sijasoma ila kwa kichwa cha habar tu usimrudie atakuumiza kuliko mwanzo
 
Kwani Naka tangu uachane nae hujapata wa kuziba pengo lake?
Hahah
Nadhan will opt for casual dating
Niliumizwa sana...imagine hadi mzazi kuingilia. Mpaka nikahisi huenda alitumwa na wabaya wa familia kunivuruga
 
Hawa wazee dakika 3 chaliiii lakini watakuwa kama wale vikajibwa kaduchu walamba papuchiiiiii🤣.
Kaza buti funga mkanda tokea lini cheaters aka badilika?
 
Sio age met
Labda wa kuzugia tu ila mda mwingi niko single... tangu tuachane ni miaka 3.
Lakini pia kumbuka nililipiwa mahari kwa maana nyingine niliolewa kimila
Mahari isiwe kifungo cha kutaka kurudiana nae. Miaka 53 na bado hajielewi na wewe unataka kurudi?? Kwani upo desperate kiasi hicho??
Achana na mawazo ya kwamba eti yeye ndio anakuweza hujataka tuu kumove on
 
Mahari isiwe kifungo cha kutaka kurudiana nae. Miaka 53 na bado hajielewi na wewe unataka kurudi?? Kwani upo desperate kiasi hicho??
Achana na mawazo ya kwamba eti yeye ndio anakuweza hujataka tuu kumove on
Thanks dear
 
Bwana wewe kama unampenda kuwa nae ila jenga mipaka sababu unajua tabia zake, maisha mafupi haya kuwa na kile unachopenda
Asante kw ushauri
Ila nadhan sipaswi kurud km wengi walivyoshauri
 
Hahah
Nadhan will opt for casual dating
Niliumizwa sana...imagine hadi mzazi kuingilia. Mpaka nikahisi huenda alitumwa na wabaya wa familia kunivuruga
Pole Sana,

piga chini usiruhusu Hilo Ni tatizo na Mungu alishakuonyesha his true color,ukishupaza shingo Kuna kitu kitakukuta mywangu
 
Back
Top Bottom