Ushauri: Ex wangu anaomba turudiane

Mshua wako yupo Kama Sugu maisha makubwa then hiyo number 50 yrs+ ndo miaka ya Jay z na sugu so huyo tunamuita mshua na sio mzee
Bora wewe umesema kweli
Ana uzee gan sasa huyo
Me nlikuwa namtania tu namuita babu
 
Watu wazima Kama Jayz wanakuaga na Love sana
 
Hivi nyie mnaokuja hapa kunitukana mmeitwa au ni ge....nye tu zinawasumbua?
Ukishaona hoja haikuvutii unapita tu kisela sio lazima uweke kambi.
Mnaonesha ni jinsi gani maisha yenu yananuka stress
Unafanya mchezo na wanaume wa jf? Hapa sio PA kuomba ushauri wowote, halafu kuna bias sana kati ya wanawake na wanaume humu.
Take care sana hapa, ila huyo jamaa temana nae kabisa, unapoteza time yako hapo
 
Refusha na kunenepesha uume kwa size unayoitaka wewe kwa bei poa tu
Ongeza size na unene wa uume ndani ya muda mfupi tumia
*DAWA HII ILIYOFANYIWA UCHUGUZI NA KUSAIDIA WATU WENGI UNASAFIRIZHIWA NDIPO ULIPE EPUKA MATAPELI
* Ni Dawa asilia ya kuongeza size na unene wa uume wako,inanenepesha na kuongeza ukubwa na urefu wa uume wako kwa muda mfupi, ni dawa isiyo na kemikali, imetengenezwa kwa kutumia virutubisho vya mimea asilia, ni dawa bora inayotumiwa na wengi wameipenda, inarefusha na kunenepesha size ya uume wako kwa haraka ,ni ndani ya siku 5 tu unapata matokeo
JINSI YA KUTUMIA ni rahisi ,unapaka kwenye uume wako baada ya kuoga na kupaka mafuta yako ya lotion au mgando,inauwezo wa kuongeza uume
AGIZA SASA PIGA SIMU!
+255 744393735
Chupa nzima inapatikana kwa Tsh 30'000/= ,pia ukitaka ya kupima kulingana na size unayotaka,mfano ya kuongeza ukubwa wa kuanzia inch 1 ni sh Tsh 20,000/= tu
Agiza utumiwe popote ulio ndani ya Tanzania, mikoani na nje ya nchi tunatumaa
 
Ukirudiana nae andaa kabisa wosia. Wanaume tunakuwa na dharau sana kwamwanamke anayesamehe maasi yetu ya nyuma.
 
Hujitambui hujui unataka nini.
 
Inabidi nisake lishangazi kama nakadori 😂Famchezo nn
 
Yan Jf bwana...
Kuna watu mnapenda sana ku generalise bila kutumia logic...
Sasa hapo kuna mahali nishasema namrudia?? Hata ukinisoma kwenye maandishi yangu kuna sehemu nilishasema natamani nirudi...au kuwauliza na nyie mnipatie mitizamo yenu imekuwa nongwa ??
Mkue basi muendane na theme ya hii forum ya kuwa great thinker
 
Inabidi nisake lishangazi kama nakadori 😂Famchezo nn
Shangaz yako umemuacha kwenu 😂😂😂😂😂
Sura yangu hiyo hapo nbila editing ....do I look like your aunty???
You have lost your way....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…