Ushauri: Ex wangu anaomba turudiane

Ushauri: Ex wangu anaomba turudiane

Kwanza kurudi Kwa x ni ushamba,ujinga na kukosa thamani
Na wewe unavyosema ushamba kuna mahal hapo nimeandika narudi??
Hata kama ningerudi wala nisingekuwa wa kwanza...
Kama ametubu na bado unapenda unarudi tu kwan sh ngapi
 
Na wewe unavyosema ushamba kuna mahal hapo nimeandika narudi??
Hata kama ningerudi wala nisingekuwa wa kwanza...
Kama ametubu na bado unapenda unarudi tu kwan sh ngapi
Oo wow! All the best maa
 
Itoshe kusema your emotional attached to j hata kama uolewe na cr7 au mwanaume gani yule j akikupa maneno ya 🍯🍯🍯 hutaacha kumrudia

Inabidi ubaki nae au utafute njia ya kuji attach emotionally kwake

Hio ndo njia pekee 😞
Ni common na binadamu wengi wanakuwa emotional driven na ma-ex wao kwa sababu uzuri au tabia na kumpendi mtu ni involuntary action hata ubongo unakuwa hauna nguvu ya kujinasua ...Kawaida ya ubongo unaweza kupuuza baadhi ya mambo ambayo kama harufu ya mdomo yako, unaweza kujiangalia kweny kioo ukaona hujapendeza ila ukajipa moyo na ubongo ukaudanya basi unakuwa hauna wasiwasi unaona uko smart ..

lakini kumpenda mtu inabaki moyoni milele na huwezi kumreplace ng'o unaweza kuudanganya ili kumpuuzia labda akifa tu tena kwa nadra inatokea.


katika maisha yako kama unampenda mtu usiteseka better kumwambia hata kumrudia hii inatesa sana watu hata uwe na uchumi unajiona sio lolote si chochote
 
Ni common na binadamu wengi wanakuwa emotional driven na ma-ex wao kwa sababu uzuri au tabia na kumpendi mtu ni involuntary action hata ubongo unakuwa hauna nguvu ya kujinasua ...Kawaida ya ubongo unaweza kupuuza baadhi ya mambo ambayo kama harufu ya mdomo, unaweza kujiangalia kweny kioo ukaona hujapendeza ila ukajipa moyo na ubongo ukaudanya basi unakuwa hauna wasiwasi unaona uko smart ..

lakini kumpenda mtu inabaki moyoni milele na huwezi kumreplace ng'o unaweza kuudanganya ili kumpuuzia labda akifa tu tena kwa nadra inatokea.
Me ashanitoka mwaya sema alivyoanza harakati za kurudi imebidi niwaulize na nyie yake maswali pale chini mwisho wa post....
Harudi mtu hapa
 
😂😂😂😂
Kurudi kwa x wangu bora kufa
😂😂😂😂😂
Imebidi tu nicheke....
Leo nimechoka hatarii kile kitufye cha tolerance kimedondoka kwa mda
 
Sio age met
Labda wa kuzugia tu ila mda mwingi niko single... tangu tuachane ni miaka 3.
Lakini pia kumbuka nililipiwa mahari kwa maana nyingine niliolewa kimila
Hata ingekuwa uliolewa kidesturi, big no!! Huyo atakupotezea muda na kukuzibia riziki.
 
Nimeshagundua jambo sisi binadam ni insane in nature, tunazidiana viwango tuu...angalia wanasiasa na matajiri wakubwa....sanity ndio tatizo, insanity is everything 👆
 
Nimeshagundua jambo sisi binadam ni insane in nature, tunazidiana viwango tuu...angalia wanasiasa na matajiri wakubwa....sanity ndio tatizo, insanity is everything 👆
Alaf inakuwaje leo ndo unagundua?Kiongozi wa vichaa ni baba na mamako yani hao wametuzidi wote...kifupi ulilelewa na vichaa bila wewe kujua.
Wengine tunaiga tu ukichaa
 
D
Ni common na binadamu wengi wanakuwa emotional driven na ma-ex wao kwa sababu uzuri au tabia na kumpendi mtu ni involuntary action hata ubongo unakuwa hauna nguvu ya kujinasua ...Kawaida ya ubongo unaweza kupuuza baadhi ya mambo ambayo kama harufu ya mdomo yako, unaweza kujiangalia kweny kioo ukaona hujapendeza ila ukajipa moyo na ubongo ukaudanya basi unakuwa hauna wasiwasi unaona uko smart ..

lakini kumpenda mtu inabaki moyoni milele na huwezi kumreplace ng'o unaweza kuudanganya ili kumpuuzia labda akifa tu tena kwa nadra inatokea.


katika maisha yako kama unampenda mtu usiteseka better kumwambia hata kumrudia hii inatesa sana watu hata uwe na uchumi unajiona sio lolote si chochote
Daaa maneno machungu haya sema ndo ukweli mi mwenyewe kuna schoolmate wangu wa A level alinicrush na mimi nikamcrush daaa sema yy alikuwa anawaambia wenzake kuwa ananikubali na mimi hivyo hivyo nawaambia wenzangu kuwa namkubali lakini daaa kile kiburi baina yetu kikatufanya


Wote tusishobokeane nimemaliza 6 saivi namuwaza kinoma, 😢😭😭😭😭 jana nimemuota kabisa mkuuu acha tu yaani huu moyo natamani niuchome moto maana hata kama nimpuuzie vipi taswira yake inanijia kila siku mkuu

Au najiendekeza nn by the way its been 11 months kwanzia nimuone

Daaa fact zako ni za ukweli aseee
 
D

Daaa maneno machungu haya sema ndo ukweli mi mwenyewe kuna schoolmate wangu wa A level alinicrush na mimi nikamcrush daaa sema yy alikuwa anawaambia wenzake kuwa ananikubali na mimi hivyo hivyo nawaambia wenzangu kuwa namkubali lakini daaa kile kiburi baina yetu kikatufanya


Wote tusishobokeane nimemaliza 6 saivi namuwaza kinoma, 😢😭😭😭😭 jana nimemuota kabisa mkuuu acha tu yaani huu moyo natamani niuchome moto maana hata kama nimpuuzie vipi taswira yake inanijia kila siku mkuu

Au najiendekeza nn by the way its been 11 months kwanzia nimuone

Daaa fact zako ni za ukweli aseee
kiakili mpo connected ila ni Ego mbaya sana ile unapotezea ila moyo hautaki 😥😥.

Ego unaweza kujisononesha na kutokuwa na furaha kabisa ..Tuombe sana Mungu kiburi kibaya sana kinatesa mno
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
Mkuki umepenya rohoni eee
Uliponiita insane uliona sawa...pambana nalo hilo hata mimi ni binadam kama walivyo wazazi wako. Mmezoea kunitukana napotezea leo nimejizima data ...
Siku ingine ukitaka ze so called parents unaowaheshim wasiguswe heshim wengine. Period
 
Back
Top Bottom