Ushauri: Freeman Mbowe aachie nafasi ya Uenyekiti imetosha sasa

Ushauri: Freeman Mbowe aachie nafasi ya Uenyekiti imetosha sasa

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
9,846
Reaction score
20,319
Kwanza sina chuki na Mbowe wala ajenda yoyote dhidi yake kwanza tumetokea tarafa moja mimi naye ila nalizungumzia hili kwa maslahi mapana ya nchi na chama

Kwa sasa mbowe angeachia tu nafasi ya uenyekiti, CHADEMA inapaswa ipate watu wenye itikadi kali kama mdude watakaoliamsha taifa

CHADEMA inahitaji mtu mwingine zaidi ya Mbowe, tatizo la Mbowe ni mwema kupitiliza na ana huruma na ni mstaarabu kupitiliza

Kwa yanayoendelea sasa Mbowe alitakiwa awe amechukua maamuzi magumu pamoja na chama chake lakini wapi matamko tu na hakuna anachofanya

CHADEMA kwa sasa ilitakiwa iwe imefika mbali kwa masekeseke yanayoendelea nchini chadema ingetumia hii ajenda wangekua mbali wananchi wanahitaji mbadala wa ccm na mtu wa kuwatetea lakini Mbowe amepwaya kwa hili

Mbowe anapaswa kuachia uenyekiti for sake of liberation chama hakipaswi kuongozwa na mtu mwema kupitiliza na mpole kama Mbowe kwa tunapopelekwa na CCM CHADEMA inahitaji mtu mkali na asiye na utani

Mbowe anatuangusha sana muulizeni ile kauli yake ya kwamba bunge likipitisha watakiamsha nchi nzima imeishia wapi?
 
Kwanza sina chuki na Mbowe wala ajenda yoyote dhidi yake kwanza tumetokea tarafa moja mimi naye ila nalizungumzia hili kwa maslahi mapana ya nchi na chama

Kwa sasa mbowe angeachia tu nafasi ya uenyekiti, Chadema inapaswa ipate watu wenye itikadi kali kama mdude watakaoliamsha taifa

Chadema inahitaji mtu mwingine zaidi ya Mbowe, tatizo la Mbowe ni mwema kupitiliza na ana huruma na ni mstaarabu kupitiliza

Kwa yanayoendelea sasa Mbowe alitakiwa awe amechukua maamuzi magumu pamoja na chama chake lakini wapi matamko tu na hakuna anachofanya

Chadema kwa sasa ilitakiwa iwe imefika mbali kwa masekeseke yanayoendelea nchini chadema ingetumia hii ajenda wangekua mbali wananchi wanahitaji mbadala wa ccm na mtu wa kuwatetea lakini Mbowe amepwaya kwa hili

Mbowe anapaswa kuachia uenyekiti for sake of liberation chama hakipaswi kuongozwa na mtu mwema kupitiliza na mpole kama Mbowe kwa tunapopelekwa na ccm chadema inahitaji mtu mkali na asiye na utani

Mbowe anatuangusha sana muulizeni ile kauli yake ya kwamba bunge likipitisha watakiamsha nchi nzima imeishia wapi?
Utakufa wewe unataka mfalme mbowe aachie uongozi wa ngo yake?? Waulize akina Ben saa nane, wangwe, mawazo, zitto etc
 
Sasa wewe mpuuzi wa uvccm mambo ya CDM yanakuhusu nini?
Nyie endeleeni kufanyq udalali wa raslimali za Nchi kama ni zenu peke yenu tutakutana mbele ya safari!
 
Kina Mwita Maranya walitakiwa ndio waongoze Chadema kwani wako active kwa Kila kinachoendelea
 
Kwanza sina chuki na Mbowe wala ajenda yoyote dhidi yake kwanza tumetokea tarafa moja mimi naye ila nalizungumzia hili kwa maslahi mapana ya nchi na chama

Kwa sasa mbowe angeachia tu nafasi ya uenyekiti, CHADEMA inapaswa ipate watu wenye itikadi kali kama mdude watakaoliamsha taifa

CHADEMA inahitaji mtu mwingine zaidi ya Mbowe, tatizo la Mbowe ni mwema kupitiliza na ana huruma na ni mstaarabu kupitiliza

Kwa yanayoendelea sasa Mbowe alitakiwa awe amechukua maamuzi magumu pamoja na chama chake lakini wapi matamko tu na hakuna anachofanya

CHADEMA kwa sasa ilitakiwa iwe imefika mbali kwa masekeseke yanayoendelea nchini chadema ingetumia hii ajenda wangekua mbali wananchi wanahitaji mbadala wa ccm na mtu wa kuwatetea lakini Mbowe amepwaya kwa hili

Mbowe anapaswa kuachia uenyekiti for sake of liberation chama hakipaswi kuongozwa na mtu mwema kupitiliza na mpole kama Mbowe kwa tunapopelekwa na CCM CHADEMA inahitaji mtu mkali na asiye na utani

Mbowe anatuangusha sana muulizeni ile kauli yake ya kwamba bunge likipitisha watakiamsha nchi nzima imeishia wapi?
Kwani kuliamsha kunahitaji Mbowe? Kule Sudani ni Mdada ndio alilimasha hadi Al Bashiri akang'oka, yaami mko humu na Private ID zenu mnasema Mbowe aliamshe? Wajinga nyie
 
Kwanza sina chuki na Mbowe wala ajenda yoyote dhidi yake kwanza tumetokea tarafa moja mimi naye ila nalizungumzia hili kwa maslahi mapana ya nchi na chama

Kwa sasa mbowe angeachia tu nafasi ya uenyekiti, CHADEMA inapaswa ipate watu wenye itikadi kali kama mdude watakaoliamsha taifa

CHADEMA inahitaji mtu mwingine zaidi ya Mbowe, tatizo la Mbowe ni mwema kupitiliza na ana huruma na ni mstaarabu kupitiliza

Kwa yanayoendelea sasa Mbowe alitakiwa awe amechukua maamuzi magumu pamoja na chama chake lakini wapi matamko tu na hakuna anachofanya

CHADEMA kwa sasa ilitakiwa iwe imefika mbali kwa masekeseke yanayoendelea nchini chadema ingetumia hii ajenda wangekua mbali wananchi wanahitaji mbadala wa ccm na mtu wa kuwatetea lakini Mbowe amepwaya kwa hili

Mbowe anapaswa kuachia uenyekiti for sake of liberation chama hakipaswi kuongozwa na mtu mwema kupitiliza na mpole kama Mbowe kwa tunapopelekwa na CCM CHADEMA inahitaji mtu mkali na asiye na utani

Mbowe anatuangusha sana muulizeni ile kauli yake ya kwamba bunge likipitisha watakiamsha nchi nzima imeishia wapi?
KACHUKUE FOMU MKUU UGOMBEE
JE AKITOKEA MTU AKASEMA NA WEWE UFE UMEISHI SANA UTAKUBALI?
 
Back
Top Bottom