Ushauri: Freeman Mbowe aachie nafasi ya Uenyekiti imetosha sasa

Ushauri: Freeman Mbowe aachie nafasi ya Uenyekiti imetosha sasa

Umeibukia huku wewe mwarabu wa Iran.
Vipi mapigano ya Ukraine na Urusi? Bado tu Putting hajakateka kale ka nchi?
 
Sasa wewe mpuuzi wa uvccm mambo ya CDM yanakuhusu nini?
Nyie endeleeni kufanyq udalali wa raslimali za Nchi kama ni zenu peke yenu tutakutana mbele ya safari!
Nishakua ccm tena?,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwani kuliamsha kunahitaji Mbowe? Kule Sudani ni Mdada ndio alilimasha hadi Al Bashiri akang'oka, yaami mko humu na Private ID zenu mnasema Mbowe aliamshe? Wajinga nyie
Tulia basi bawacha?
 
Kwanza sina chuki na Mbowe wala ajenda yoyote dhidi yake kwanza tumetokea tarafa moja mimi naye ila nalizungumzia hili kwa maslahi mapana ya nchi na chama

Kwa sasa mbowe angeachia tu nafasi ya uenyekiti, CHADEMA inapaswa ipate watu wenye itikadi kali kama mdude watakaoliamsha taifa

CHADEMA inahitaji mtu mwingine zaidi ya Mbowe, tatizo la Mbowe ni mwema kupitiliza na ana huruma na ni mstaarabu kupitiliza

Kwa yanayoendelea sasa Mbowe alitakiwa awe amechukua maamuzi magumu pamoja na chama chake lakini wapi matamko tu na hakuna anachofanya

CHADEMA kwa sasa ilitakiwa iwe imefika mbali kwa masekeseke yanayoendelea nchini chadema ingetumia hii ajenda wangekua mbali wananchi wanahitaji mbadala wa ccm na mtu wa kuwatetea lakini Mbowe amepwaya kwa hili

Mbowe anapaswa kuachia uenyekiti for sake of liberation chama hakipaswi kuongozwa na mtu mwema kupitiliza na mpole kama Mbowe kwa tunapopelekwa na CCM CHADEMA inahitaji mtu mkali na asiye na utani

Mbowe anatuangusha sana muulizeni ile kauli yake ya kwamba bunge likipitisha watakiamsha nchi nzima imeishia wapi?
Nimekimbilia thread haraka ili nisome facts za kufanya Mbowe aondoke mwisho wa cku cjaona facts!! Mi Nadhan ni muhim san kiongoz yeyote ambae watu au mtu anataka aachie ngaz bas na atoe facts za kufanya atoke!
 
Kwanza sina chuki na Mbowe wala ajenda yoyote dhidi yake kwanza tumetokea tarafa moja mimi naye ila nalizungumzia hili kwa maslahi mapana ya nchi na chama

Kwa sasa mbowe angeachia tu nafasi ya uenyekiti, CHADEMA inapaswa ipate watu wenye itikadi kali kama mdude watakaoliamsha taifa

CHADEMA inahitaji mtu mwingine zaidi ya Mbowe, tatizo la Mbowe ni mwema kupitiliza na ana huruma na ni mstaarabu kupitiliza

Kwa yanayoendelea sasa Mbowe alitakiwa awe amechukua maamuzi magumu pamoja na chama chake lakini wapi matamko tu na hakuna anachofanya

CHADEMA kwa sasa ilitakiwa iwe imefika mbali kwa masekeseke yanayoendelea nchini chadema ingetumia hii ajenda wangekua mbali wananchi wanahitaji mbadala wa ccm na mtu wa kuwatetea lakini Mbowe amepwaya kwa hili

Mbowe anapaswa kuachia uenyekiti for sake of liberation chama hakipaswi kuongozwa na mtu mwema kupitiliza na mpole kama Mbowe kwa tunapopelekwa na CCM CHADEMA inahitaji mtu mkali na asiye na utani

Mbowe anatuangusha sana muulizeni ile kauli yake ya kwamba bunge likipitisha watakiamsha nchi nzima imeishia wapi?
Jibuni hoja za Mbowe...
Kuachia ataachia tu lakini jibuni hoja zake
 
Mbowe alishasema kuwa hagombei tena mwaka huu sasa mnataka ajiuzu kabla ya kumaliza kipindi chake?
 
wakati akiwa korokoroni kwa mashitaka ya ugaidi hawa wenye misimamo mikali walikuwa wapi kumpigania au walijificha nyuma ya keyboard. Akisema kesho tuingie barabarani nina uhakika hakuna atakayejitokeza.
Mwamba ana busara sana kama ulivyosema tumpe muda.
 
Rais Samia Kuna watu eti wanakukosoa kwa maboresho ya Bandari zetu ilhali umefanya jambo hilo kwa uwazi Bungeni kama Azimio. Yeye Mbowe (Freeman) hasemi kama wameanza kupokea ruzuku tena kachukua Bilioni 2 na kusweka mfukoni kwake kimya kimya. Sasa nani muwazi kati Yako na yeye".

Makalla amesema hayo mbele ya Rais Samia Suluhu Hassan katika tamasha la utamaduni Bulabo hapa Mwanza.

Chanzo: TBC1
 
"nimetoka tarafa Moja na Mbowe"

Hv kaka yale maji ya weru weru hua mnayaogaje mbona ya baridi sana 😁miaka mitatu nimeshindwa kuadapt
 
[emoji91][emoji91][emoji91][emoji91][emoji91]
 
Back
Top Bottom