Ushauri Galaxy A73 5G

Ushauri Galaxy A73 5G

Ina Esim?

Km haina achana nayo
 
Ina Esim?

Km haina achana nayo
Esim sio kigezo kikubwa sim bado zinatengenezwa na pande mbili NANO NA ESIM mimi nasubiri ambayo itakuwa fully esim support Bila physical sim card sasahivi nishauri vingine.
 
Simu nzuri hiyo kama bei ni reasonable chukua
 
So Expensive so far bei niliyokutana nayo ya chini kabisa ni 1,150,000/-, kwa mpya Fullboxed.
 
Back
Top Bottom