Ushauri Gari yangu aichanganyi speed mwisho 60 tu!

ndama1

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2014
Posts
278
Reaction score
96
Nomba ushauri gari yangu TOYOTA VOLTZ ugonjwa wake gari ni nzito nikapeleka garage za mtaani wakafungua gear box na kubadilisha hydrolic cha ajabu imekuwa ata afadhali na awali imekuwa nzito zaidi. Nomba mwenye kujua au mwenye kunishauri anisaidie ili niweze kujua namna ya kuweza kupata wataalamu wa uhakika ili nimalize hili tatizo. Mi nipo Chalinze Pwani.
 
Walibadilisha Hydraulic......? Baada ya hapo waliweka Oil gan....?
Gear box inatakiwa iwekewe ATF(Automatic Transmission Fluid) co Hydraulic. Tatzo lako pia linatakiwa waanze kucheck Speed Sensors kwenye Gear box/Transimission. Mwsho wacheck Relay kwnye Fuse Box.
 
Okey waliweka ATF nakumbuka, Ila sensor na fuse awakuangalia inaonesha awana experience ila kwasababu umenipa mwanga nitavifanyia ukaguzi nashukuru sana mkuu.
 
Okey waliweka ATF nakumbuka, Ila sensor na fuse awakuangalia inaonesha awana experience ila kwasababu umenipa mwanga nitavifanyia ukaguzi nashukuru sana mkuu.
Utaleta Feedback hapa.
 
YAANI WALISHUSHA GEARBOX AU WALIBADILI HYDRAULIC KWA KUFUNGUA KOKI?
 
Hapo ishu itakuwa kwenye gearbox,kwanini usiwapelekee mafundi wakapime kwa computer..
 
Gerage ipi nitapata hao wataalam wa kupima kwa computer !?
 
Hapo ishu itakuwa kwenye gearbox,kwanini usiwapelekee mafundi wakapime kwa computer..
Gerage IPI na wapi nitapata wataalam wa kupima kwa computer?
 
Mkuu gari yako imeua gear namba 3, 4, na 5. Ukitaka kujua jaribu unapoendesha inabadili gear ya kwanza, na ya pili tu labda na ya 3 kwa shida sana. Kuna vitu vinatakiwa kubadilishwa kwenye gearbox lakini haitachelewa itaanza tena. Nakushauri ujichange uagize gear box yake.
 
YAANI WALISHUSHA GEARBOX AU WALIBADILI HYDRAULIC KWA KUFUNGUA KOKI?
Walifungua koki chini wakamwaga, alafu wakafungua ndani ya gear box wakatoa vitu vya ndani then wakavirudisha lkn tatizo lipo pale pale.
 
Ohoo! Yawezekana kweli huenda gear 3,4, na 5 Haziingii ndio maana gari ikifika speed fulani inavuma muungulumo tu lakin aichanganyi.
 
Fundi LEGE kama uko umu nahitaji mawazo yako au ata kama kuna mtaalam mngine ambae aliishawahi kumbana na tatizo kama hili anijuze jinsi alivyosovu.
 
WAAMBIE WAFUNGUE STREINA WAISAFISHE KAMA IKIFIKA 60K/H INAVUMA

WAFUNGUE SAMPLE YA GEARBOX WATOE STREINA WAISAFISHE ITARUDI KAMA MPYA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…