Ushauri Gari yangu aichanganyi speed mwisho 60 tu!

Ushauri Gari yangu aichanganyi speed mwisho 60 tu!

Pole sana mkuu umejisumbua kweli kumjibu huyo?? Speed ya gari na namba ya gari kuna uhusiano gani
Ata Mimi sikumuelewa kabisaa Hz gari Volt zote speed maxmum 180k/h sasa hii ya A na D sikumpata.
 
Now days gari nying ni za umeme. Kuna kifaa kipo kwenye engine kinaitwa ECM ambamo ndani yake Kuna operation map ama mafundi wengi wa catapiler wanaita FLASH FILE.... hicho kifaa kinarekodi na kuchanganua mwenendo wa engine yako...Kama upo karbu na wataalam waambie wakicheck kwa program maalum through diagnosis kit,hapo utakua umemaliza tatizo lako coz hicho kifaa kitakuonyesha mahala kwenye tatizo

Hizi garage za mitaani wamezoea mambo ya kizaman na wakat Sasa Zama zimebadilika hakuna Tena kukisia tatizo la engine yako Ni unaenda straight kwenye tatzo husika

By. Eng.buzitata
 
Now days gari nying ni za umeme. Kuna kifaa kipo kwenye engine kinaitwa ECM ambamo ndani yake Kuna operation map ama mafundi wengi wa catapiler wanaita FLASH FILE.... hicho kifaa kinarekodi na kuchanganua mwenendo wa engine yako...Kama upo karbu na wataalam waambie wakicheck kwa program maalum through diagnosis kit,hapo utakua umemaliza tatizo lako coz hicho kifaa kitakuonyesha mahala kwenye tatizo

Hizi garage za mitaani wamezoea mambo ya kizaman na wakat Sasa Zama zimebadilika hakuna Tena kukisia tatizo la engine yako Ni unaenda straight kwenye tatzo husika

By. Eng.buzitata
Hivi mkuu gharama za diaginosis tatizo yaweza ikawa kiasi gani ?
 
Nilichangia bila ya kusoma kichwa cha habari kwa shida hiyo hapo kama gari inachimba vizuri basi kuna mambo kama mawili hivi kama walifungua na kusafisha filter/strainer basi yawezekana ikawa valve chasi hapo walipofungua mwanzo waliikuta kwenye hali gani?? Au wafungue chasi wasafishe ..au kagua performance ya engine kuna mdau kashauri juu ya catalic converter pia nayo ni sababu yaweza pelekea janga hilo..

KARIBU JO AUTO TECH kwa msaada ushauri na matengenezo ya gari yako.ni wabobezi na mabingwa wa auto electrical na electronics..
Mkuu habari za mda huu ? Nomba nicheki 0712555352
 
Hivi mkuu gharama za diaginosis tatizo yaweza ikawa kiasi gani ?
Dah kiongoz kwa gharama za huko bongo bado sijafaham ila sio ghali

Mwakan March mungu akinijaalia nitarudi na hicho kifaa myb nawezaokoa hasara kubwa wanazopata watu kutokana na Hawa mafundi wetu japo sio wote

Diagnosis kit ndio suluhisho kubwa kwa magar ama engine zinazotegemea mfumo wa umeme... Mara nyingi kwa upande wa mechanics gari hzo huwa hazisumbui sana coz kitu chenye mapungufu kinaonekana kwa macho au kwa kugusa ila Kama Ni ECM hapo hakuna ujanja inabidi utatute wataalam tu......over
 
Nomba ushauri gari yangu TOYOTA VOLTZ ugonjwa wake gari ni nzito nikapeleka garage za mtaani wakafungua gear box na kubadilisha hydrolic cha ajabu imekuwa ata afadhali na awali imekuwa nzito zaidi. Nomba mwenye kujua au mwenye kunishauri anisaidie ili niweze kujua namna ya kuweza kupata wataalamu wa uhakika ili nimalize hili tatizo. Mi nipo Chalinze Pwani.

"NENDA KWA FUNDI ACHA UJINGA"
 
Ku
Dah kiongoz kwa gharama za huko bongo bado sijafaham ila sio ghali

Mwakan March mungu akinijaalia nitarudi na hicho kifaa myb nawezaokoa hasara kubwa wanazopata watu kutokana na Hawa mafundi wetu japo sio wote

Diagnosis kit ndio suluhisho kubwa kwa magar ama engine zinazotegemea mfumo wa umeme... Mara nyingi kwa upande wa mechanics gari hzo huwa hazisumbui sana coz kitu chenye mapungufu kinaonekana kwa macho au kwa kugusa ila Kama Ni ECM hapo hakuna ujanja inabidi utatute wataalam tu......over
Kuna kazi ni ngumu kuna magonjwa ni balaa hata mashine yenyewe haina msaada wowote..usiombe ukutane nazo
 
Comrade
Nina gar yangu TOYOTA CAMI

Imekuwa nzito balaa kuchanganya moto
Halafu ina miss balaa

Na ukiwasha inatoa moshi mwingi unakata baada ya gari kuchanganya

Wiki iliyopita fund alibadili zile FUSE

Lakini naona shida imepungua kidogo
But, bado ipo
Nenda kabadili stem valve kabla hujaua piston ring. Gari yako inatatizo kwenye head huenda ni hizo stem valve zimeungua baadhi au head yenyewe imechimbika kunakopita stem valve. Na uende kwa fundi ambaye ukimsikiliza ana uhakika na kazi yake........Stem valve zikipata shida petrol inakuwa haiungui inavyotakiwa.
 
Wapime sensor na uwe makini kuangalia kama od iko on.. hiyo od inazuia gari hisivuke spid 40-60. Ni kibatani flani kipo chini kdg ya rungu la gia. Ukikibonyeza utaona kwny dashboard inaonesha od on/off


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu gari yako imeua gear namba 3, 4, na 5. Ukitaka kujua jaribu unapoendesha inabadili gear ya kwanza, na ya pili tu labda na ya 3 kwa shida sana. Kuna vitu vinatakiwa kubadilishwa kwenye gearbox lakini haitachelewa itaanza tena. Nakushauri ujichange uagize gear box yake.
automatic gear box ikifa ni kutupa hamna cha mubadilisha. clutch plate zake mafundi wengi hawataki kuumiza vichwa.
 
Back
Top Bottom