Ushauri: Haji Manara arudie kazi yake ya udalali na kufundisha madrasa, maisha yatamuwia magumu

Ushauri: Haji Manara arudie kazi yake ya udalali na kufundisha madrasa, maisha yatamuwia magumu

chiembe

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2015
Posts
16,859
Reaction score
28,112
Namshauri Haji Manara arudie kazi yake ya zamani ya kufundisha madrasa na udalali wa nyumba na magari.

Muda si mrefu GSM atachoka kumlipa mshahara wa Bure.
 
Mimi ni shabiki wa Simba Ila ninachojua hatima ya manara IPO Kwa MUNGU Tu na sio binadamu sioni sababu ya kumwombea mabaya
 
Huwatakii mema wenye magari ndugu?Unataka waanze vilio vya kwikwi baada ya mapumziko ya muda mrefu?
 
Back
Top Bottom