Pre GE2025 Ushauri: Halima Mdee na wenzake 18 taifa letu bado linahitaji michango yao ya hekima, busara na ustaarabu wa kuikosoa serikali yetu. Wajiunge ACT

Pre GE2025 Ushauri: Halima Mdee na wenzake 18 taifa letu bado linahitaji michango yao ya hekima, busara na ustaarabu wa kuikosoa serikali yetu. Wajiunge ACT

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Dr Akili

JF-Expert Member
Joined
Aug 21, 2011
Posts
5,119
Reaction score
4,569
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama alivyotamka huyo mwenyekiti mpya. Vipaji vyenu vitakuwa vimehitimishwa.

Nchi yetu inatambua vipaji vyenu na michango yenu makini yenye busara ya kuikosoa na kuirekebishs serikali kipindi chote mlichokuwa upande wa upinzani. Taifa lilifaidika sana kwa michango yenu hiyo na lingependa muendelee kwa nafasi hizo.

Hivyo basi tunawashauri muhamie chama cha kijana mwenzenu makini na mzalendo cha ACT ili mkagombee ubunge wa majimbo au wa viti maalum kupitia chama hicho. Tuna uhakika mkifanya hivyo mtaendelea kuwa wabunge na sisi kuendelea kufaidia na michango yenu ya kistaarabu ya kuikosoa na kuirekebisha serikali yetu kwa manufaa yetu sote.

Pia soma=> Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Nyie hamtakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Maalim Seifu Hamad Sherifu alifanya hivyo na timu yake baada ya kuvurugana na Lipumba huko CUF. Hivyo ingalipendeza hata wale waliokuwa timu Mbowe wakang'oa nanga na kujiunga na ACT wazalendo.

Tungalipenda Zitto Kabwe akawa mbunge na KUB ajaye. Tungependa kuwa na chama kikuu cha upinzani kingine huku Tanzania bara kikichuana kushika dola badala ya hiki kimoja cha chadema kinachodharau vyama vingine na kuviita CCM B. Ni muda mwafaka sasa watu kama Bony Yai, Mrema, Kagaila, Wenje, Yericco na wengine wenye wa aina hiyo wakajiunga na kuimarisha ACT wazalendo.
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama alivyotamka huyo mwenyekiti mpya. Vipaji vyenu vitakuwa vimehitimishwa.

Nchi yetu inatambua vipaji vyenu na michango yenu makini yenye busara ya kuikosoa na kuirekebishs serikali kipindi chote mlichokuwa upande wa upinzani. Taifa lilifaidika sana kwa michango yenu hiyo na lingependa muendelee kwa nafasi hizo.

Hivyo basi tunawashauri muhamie chama cha kijana mwenzenu makini na mzalendo cha ACT ili mkagombee ubunge wa majimbo au wa viti maalum kupitia chama hicho. Tuna uhakika mkifanya hivyo mtaendelea kuwa wabunge na sisi kuendelea kufaidia na michango yenu ya kistaarabu ya kuikosoa na kuirekebisha serikali yetu kwa manufaa yetu sote.

Pia soma=> Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Nyie hamtakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Maalim Seifu Hamad Sherifu alifanya hivyo na timu yake baada ya kuvurugana na Lipumba huko CUF. Hivyo ingalipendeza hata wale waliokuwa timu Mbowe wakang'oa nanga na kujiunga na ACT wazalendo.

Tungalipenda Zitto Kabwe akawa mbunge na KUB ajaye. Tungependa kuwa na chama kikuu cha upinzani kingine huku Tanzania bara kikichuana kushika dola badala ya hiki kimoja cha chadema kinachodharau vyama vingine na kuviita CCM B. Ni muda mwafaka sasa watu kama Bony Yai, Mrema, Kagaila, Wenje, Yericco na wengine wenye wa aina hiyo wakajiunga na kuimarisha ACT wazalendo.
Sidhani kama umefikiria vizuri kuhusu dhana ya kiongozi wa wananchi. Kwenye hilo uadilifu ni nguzo namba moja. Asiye mwadilifu, hafai kuwa kiongozi.

Kwenye sakata la Mdee na wenzake, limelemea zaidi kwenye kukosa uadilifu na kufanya udanganyifu. Kwa ujumla nchi yetu inahitaji viongozi waadilifu.

Kwa tafsiri hii, tunapaswa kuachana na akina Mdee, kama wananchi. Nchi yetu inao akina Mdee wengi sana ambao ni waadilifu, huwaoni kwa kuwa akina Mdee wameziba nafasi.

Ova
 
Sidhani kama umefikiria vizuri kuhusu dhana ya kiongozi wa wananchi. Kwenye hilo uadilifu ni nguzo namba moja. Asiye mwadilifu, hafai kuwa kiongozi.

Kwenye sakata la Mdee na wenzake, limelemea zaidi kwenye kukosa uadilifu na kufanya udanganyifu. Kwa ujumla nchi yetu inahitaji viongozi waadilifu.

Kwa tafsiri hii, tunapaswa kuachana na akina Mdee, kama wananchi. Nchi yetu inao akina Mdee wengi sana ambao ni waadilifu, huwaoni kwa kuwa akina Mdee wameziba nafasi.

Ova
Milango iko mingi. Huko chadema mumewafungia mlango. Tatizo liko wapi kama watatumia mlango wa ACT ambao uko wazi kwao. Kura za wananchi ndizo zitakazoamua kama waendelee na ubunge majimboni kwao au ubunge wa viti maalumu. Kwani ni lazima wawe chadema ili kuendelea kufanya siasa.? Upende usipende, kilichotokea huko chadema 21 January 2025 ACT na CCM kitawanufaisha sana kwenye uchaguzi mkuu wa October 2025. Kwanza hii chadema ya Tundu Lissu haitashiriki kwenye uchaguzi huo kwani hakutakuwa na hiyo reform wanayoitaka. Kuzuia uchaguzi hawana ubavu huo wa kupambana na akina Afande Mulilo etc. Hivyo ni obvious kwamba ACT wazalendo ndiyo itaibuka kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni na Zitto Kabwe kuwa KUB. Chadema itabaki kuwa chama cha wanaharakati.
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama alivyotamka huyo mwenyekiti mpya. Vipaji vyenu vitakuwa vimehitimishwa.

Nchi yetu inatambua vipaji vyenu na michango yenu makini yenye busara ya kuikosoa na kuirekebishs serikali kipindi chote mlichokuwa upande wa upinzani. Taifa lilifaidika sana kwa michango yenu hiyo na lingependa muendelee kwa nafasi hizo.

Hivyo basi tunawashauri muhamie chama cha kijana mwenzenu makini na mzalendo cha ACT ili mkagombee ubunge wa majimbo au wa viti maalum kupitia chama hicho. Tuna uhakika mkifanya hivyo mtaendelea kuwa wabunge na sisi kuendelea kufaidia na michango yenu ya kistaarabu ya kuikosoa na kuirekebisha serikali yetu kwa manufaa yetu sote.

Pia soma=> Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Nyie hamtakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Maalim Seifu Hamad Sherifu alifanya hivyo na timu yake baada ya kuvurugana na Lipumba huko CUF. Hivyo ingalipendeza hata wale waliokuwa timu Mbowe wakang'oa nanga na kujiunga na ACT wazalendo.

Tungalipenda Zitto Kabwe akawa mbunge na KUB ajaye. Tungependa kuwa na chama kikuu cha upinzani kingine huku Tanzania bara kikichuana kushika dola badala ya hiki kimoja cha chadema kinachodharau vyama vingine na kuviita CCM B. Ni muda mwafaka sasa watu kama Bony Yai, Mrema, Kagaila, Wenje, Yericco na wengine wenye wa aina hiyo wakajiunga na kuimarisha ACT wazalendo.
Hao wanawake ni wabobevu kwenye siasa,hivi karibuni watatangaza wanaenda wapi,subiri tu
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama alivyotamka huyo mwenyekiti mpya. Vipaji vyenu vitakuwa vimehitimishwa.

Nchi yetu inatambua vipaji vyenu na michango yenu makini yenye busara ya kuikosoa na kuirekebishs serikali kipindi chote mlichokuwa upande wa upinzani. Taifa lilifaidika sana kwa michango yenu hiyo na lingependa muendelee kwa nafasi hizo.

Hivyo basi tunawashauri muhamie chama cha kijana mwenzenu makini na mzalendo cha ACT ili mkagombee ubunge wa majimbo au wa viti maalum kupitia chama hicho. Tuna uhakika mkifanya hivyo mtaendelea kuwa wabunge na sisi kuendelea kufaidia na michango yenu ya kistaarabu ya kuikosoa na kuirekebisha serikali yetu kwa manufaa yetu sote.

Pia soma=> Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Nyie hamtakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Maalim Seifu Hamad Sherifu alifanya hivyo na timu yake baada ya kuvurugana na Lipumba huko CUF. Hivyo ingalipendeza hata wale waliokuwa timu Mbowe wakang'oa nanga na kujiunga na ACT wazalendo.

Tungalipenda Zitto Kabwe akawa mbunge na KUB ajaye. Tungependa kuwa na chama kikuu cha upinzani kingine huku Tanzania bara kikichuana kushika dola badala ya hiki kimoja cha chadema kinachodharau vyama vingine na kuviita CCM B. Ni muda mwafaka sasa watu kama Bony Yai, Mrema, Kagaila, Wenje, Yericco na wengine wenye wa aina hiyo wakajiunga na kuimarisha ACT wazalendo.
Hao akina Yericko uliowataja ndio waliokuwa wanaongea kwa kejeli wakiamini Mbowe atamshinda Lisu, kwamba mkishindwa hakuna kuhama chama, sasa naona unataka wameze matapishi yao. Hao covod 19 lini mlianza kuwaona ni wa maana? Na huko ACT unakotaka waende hakuna wagombea wengine, wako wanasubiri wasaka madaraka waje wawape nafasi?

Huu upuuzi wa kusubiri wasaka madaraka walikosea cdm uchaguzi wa 2015, wakapokea wahamiaji haramu toka ccm, matokeo yake wengi wa hao wahamiaji haramu ndio walirejea ccm kuunga ile project chafu ya kuunga mkono juhudi. Unadhani ACT hawajui upuuzi huo?
 
Milango iko mingi. Huko chadema mumewafungia mlango. Tatizo liko wapi kama watatumia mlango wa ACT ambao uko wazi kwao. Kura za wananchi ndizo zitakazoamua kama waendelee na ubunge majimboni kwao au ubunge wa viti maalumu. Kwani ni lazima wawe chadema ili kuendelea kufanya siasa.? Upende usipende, kilichotokea huko chadema 21 January 2025 ACT na CCM kitawanufaisha sana kwenye uchaguzi mkuu wa October 2025. Kwanza hii chadema ya Tundu Lissu haitashiriki kwenye uchaguzi huo kwani hakutakuwa na hiyo reform wanayoitaka. Kuzuia uchaguzi hawana ubavu huo wa kupambana na akina Afande Mulilo etc. Hivyo ni obvious kwamba ACT wazalendo ndiyo itaibuka kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni na Zitto Kabwe kuwa KUB. Chadema itabaki kuwa chama cha wanaharakati.
Wajinga ndio huwa wanapatikana kwa vitisho vya aina hii. Ccm haifadiki na hao matapeli wa aina ya kina Mdee, bali wao wanategemea mbeleko ya vyombo vya dola. Kura za wananchi gani zitaamua? Kwenye hizi chaguzi za kishenzi kuna kura inaamua mshindi? Juzi kumefanyika uchaguzi wa SM, hao ACT mliwaachia hivyo viti? Uchaguzi wa Cdm ndio uchaguzi wa kweli nchi hii, hizo chaguzi za nchi ni upuuzi kama upuuzi mwingine. Na mkilogwa kwenye uchaguzi wa haki, ccm haitakuwa hata chama kikuu cha upinzani.
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama alivyotamka huyo mwenyekiti mpya. Vipaji vyenu vitakuwa vimehitimishwa.

Nchi yetu inatambua vipaji vyenu na michango yenu makini yenye busara ya kuikosoa na kuirekebishs serikali kipindi chote mlichokuwa upande wa upinzani. Taifa lilifaidika sana kwa michango yenu hiyo na lingependa muendelee kwa nafasi hizo.

Hivyo basi tunawashauri muhamie chama cha kijana mwenzenu makini na mzalendo cha ACT ili mkagombee ubunge wa majimbo au wa viti maalum kupitia chama hicho. Tuna uhakika mkifanya hivyo mtaendelea kuwa wabunge na sisi kuendelea kufaidia na michango yenu ya kistaarabu ya kuikosoa na kuirekebisha serikali yetu kwa manufaa yetu sote.

Pia soma=> Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Nyie hamtakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Maalim Seifu Hamad Sherifu alifanya hivyo na timu yake baada ya kuvurugana na Lipumba huko CUF. Hivyo ingalipendeza hata wale waliokuwa timu Mbowe wakang'oa nanga na kujiunga na ACT wazalendo.

Tungalipenda Zitto Kabwe akawa mbunge na KUB ajaye. Tungependa kuwa na chama kikuu cha upinzani kingine huku Tanzania bara kikichuana kushika dola badala ya hiki kimoja cha chadema kinachodharau vyama vingine na kuviita CCM B. Ni muda mwafaka sasa watu kama Bony Yai, Mrema, Kagaila, Wenje, Yericco na wengine wenye wa aina hiyo wakajiunga na kuimarisha ACT wazalendo.
Watajiungaje wakati ni wana CCM?
 
Milango iko mingi. Huko chadema mumewafungia mlango. Tatizo liko wapi kama watatumia mlango wa ACT ambao uko wazi kwao. Kura za wananchi ndizo zitakazoamua kama waendelee na ubunge majimboni kwao au ubunge wa viti maalumu. Kwani ni lazima wawe chadema ili kuendelea kufanya siasa.? Upende usipende, kilichotokea huko chadema 21 January 2025 ACT na CCM kitawanufaisha sana kwenye uchaguzi mkuu wa October 2025. Kwanza hii chadema ya Tundu Lissu haitashiriki kwenye uchaguzi huo kwani hakutakuwa na hiyo reform wanayoitaka. Kuzuia uchaguzi hawana ubavu huo wa kupambana na akina Afande Mulilo etc. Hivyo ni obvious kwamba ACT wazalendo ndiyo itaibuka kuwa chama kikuu cha upinzani bungeni na Zitto Kabwe kuwa KUB. Chadema itabaki kuwa chama cha wanaharakati.
Hawana sifa za kuwa viongozi wa kitaifa tena.
 
Waende CCM haraka, Kwa majizi wenzao wa Mali za nchi. Naam chama hakijakuteua umefoji kwenda bungeni kula keki ya Taifa kiujanjaujanja ni wezi kama wezi wengine wa Mali za uma.
 
Ngoja akili ziwakae sawasawa.

Ila Halima hana ubavu wa kuondoka CHADEMA
 
Hao wakina
Boni yai,Kigaila,mrema wahame CDM kwasababu gani?Mbowe kushindwa uenyekiti kumewazuia ndoto zao?
Kushinda ubunge kupitia upinzani nje ya CDM miaka hii sio lelemama.
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama alivyotamka huyo mwenyekiti mpya. Vipaji vyenu vitakuwa vimehitimishwa.

Nchi yetu inatambua vipaji vyenu na michango yenu makini yenye busara ya kuikosoa na kuirekebishs serikali kipindi chote mlichokuwa upande wa upinzani. Taifa lilifaidika sana kwa michango yenu hiyo na lingependa muendelee kwa nafasi hizo.

Hivyo basi tunawashauri muhamie chama cha kijana mwenzenu makini na mzalendo cha ACT ili mkagombee ubunge wa majimbo au wa viti maalum kupitia chama hicho. Tuna uhakika mkifanya hivyo mtaendelea kuwa wabunge na sisi kuendelea kufaidia na michango yenu ya kistaarabu ya kuikosoa na kuirekebisha serikali yetu kwa manufaa yetu sote.

Pia soma=> Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Nyie hamtakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Maalim Seifu Hamad Sherifu alifanya hivyo na timu yake baada ya kuvurugana na Lipumba huko CUF. Hivyo ingalipendeza hata wale waliokuwa timu Mbowe wakang'oa nanga na kujiunga na ACT wazalendo.

Tungalipenda Zitto Kabwe akawa mbunge na KUB ajaye. Tungependa kuwa na chama kikuu cha upinzani kingine huku Tanzania bara kikichuana kushika dola badala ya hiki kimoja cha chadema kinachodharau vyama vingine na kuviita CCM B. Ni muda mwafaka sasa watu kama Bony Yai, Mrema, Kagaila, Wenje, Yericco na wengine wenye wa aina hiyo wakajiunga na kuimarisha ACT wazalendo.
Katika ulimwengu wa kisiasa , COVID-19,wamepotea njia!
Labda wakadang...
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama alivyotamka huyo mwenyekiti mpya. Vipaji vyenu vitakuwa vimehitimishwa.

Nchi yetu inatambua vipaji vyenu na michango yenu makini yenye busara ya kuikosoa na kuirekebishs serikali kipindi chote mlichokuwa upande wa upinzani. Taifa lilifaidika sana kwa michango yenu hiyo na lingependa muendelee kwa nafasi hizo.

Hivyo basi tunawashauri muhamie chama cha kijana mwenzenu makini na mzalendo cha ACT ili mkagombee ubunge wa majimbo au wa viti maalum kupitia chama hicho. Tuna uhakika mkifanya hivyo mtaendelea kuwa wabunge na sisi kuendelea kufaidia na michango yenu ya kistaarabu ya kuikosoa na kuirekebisha serikali yetu kwa manufaa yetu sote.

Pia soma=> Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Nyie hamtakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Maalim Seifu Hamad Sherifu alifanya hivyo na timu yake baada ya kuvurugana na Lipumba huko CUF. Hivyo ingalipendeza hata wale waliokuwa timu Mbowe wakang'oa nanga na kujiunga na ACT wazalendo.

Tungalipenda Zitto Kabwe akawa mbunge na KUB ajaye. Tungependa kuwa na chama kikuu cha upinzani kingine huku Tanzania bara kikichuana kushika dola badala ya hiki kimoja cha chadema kinachodharau vyama vingine na kuviita CCM B. Ni muda mwafaka sasa watu kama Bony Yai, Mrema, Kagaila, Wenje, Yericco na wengine wenye wa aina hiyo wakajiunga na kuimarisha ACT wazalendo.
Huko kunawafaa maana kile ni chama cha walamba asali B
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama alivyotamka huyo mwenyekiti mpya. Vipaji vyenu vitakuwa vimehitimishwa.

Nchi yetu inatambua vipaji vyenu na michango yenu makini yenye busara ya kuikosoa na kuirekebishs serikali kipindi chote mlichokuwa upande wa upinzani. Taifa lilifaidika sana kwa michango yenu hiyo na lingependa muendelee kwa nafasi hizo.

Hivyo basi tunawashauri muhamie chama cha kijana mwenzenu makini na mzalendo cha ACT ili mkagombee ubunge wa majimbo au wa viti maalum kupitia chama hicho. Tuna uhakika mkifanya hivyo mtaendelea kuwa wabunge na sisi kuendelea kufaidia na michango yenu ya kistaarabu ya kuikosoa na kuirekebisha serikali yetu kwa manufaa yetu sote.

Pia soma=> Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Nyie hamtakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Maalim Seifu Hamad Sherifu alifanya hivyo na timu yake baada ya kuvurugana na Lipumba huko CUF. Hivyo ingalipendeza hata wale waliokuwa timu Mbowe wakang'oa nanga na kujiunga na ACT wazalendo.

Tungalipenda Zitto Kabwe akawa mbunge na KUB ajaye. Tungependa kuwa na chama kikuu cha upinzani kingine huku Tanzania bara kikichuana kushika dola badala ya hiki kimoja cha chadema kinachodharau vyama vingine na kuviita CCM B. Ni muda mwafaka sasa watu kama Bony Yai, Mrema, Kagaila, Wenje, Yericco na wengine wenye wa aina hiyo wakajiunga na kuimarisha ACT wazalendo.
Hakua kitu mle, waende ccm sio lazima Chadema , unasaliti chama ,kama Halima angekua rais wa nchi hii angeweza saliti hata Taifa hili .

Kosa kubwa atafnya mwenyekiti nikuwarudisha hawa majangili chamani , na asijaribu , ndio chama chahitaji wanachama wapya wa kuongezea nguvu ila ila sio hawa vikorogosi ,pumbavu zao
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama alivyotamka huyo mwenyekiti mpya. Vipaji vyenu vitakuwa vimehitimishwa.

Nchi yetu inatambua vipaji vyenu na michango yenu makini yenye busara ya kuikosoa na kuirekebishs serikali kipindi chote mlichokuwa upande wa upinzani. Taifa lilifaidika sana kwa michango yenu hiyo na lingependa muendelee kwa nafasi hizo.

Hivyo basi tunawashauri muhamie chama cha kijana mwenzenu makini na mzalendo cha ACT ili mkagombee ubunge wa majimbo au wa viti maalum kupitia chama hicho. Tuna uhakika mkifanya hivyo mtaendelea kuwa wabunge na sisi kuendelea kufaidia na michango yenu ya kistaarabu ya kuikosoa na kuirekebisha serikali yetu kwa manufaa yetu sote.

Pia soma=> Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Nyie hamtakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Maalim Seifu Hamad Sherifu alifanya hivyo na timu yake baada ya kuvurugana na Lipumba huko CUF. Hivyo ingalipendeza hata wale waliokuwa timu Mbowe wakang'oa nanga na kujiunga na ACT wazalendo.

Tungalipenda Zitto Kabwe akawa mbunge na KUB ajaye. Tungependa kuwa na chama kikuu cha upinzani kingine huku Tanzania bara kikichuana kushika dola badala ya hiki kimoja cha chadema kinachodharau vyama vingine na kuviita CCM B. Ni muda mwafaka sasa watu kama Bony Yai, Mrema, Kagaila, Wenje, Yericco na wengine wenye wa aina hiyo wakajiunga na kuimarisha ACT wazalendo.
Wajaribu kufanya hivyo kama ni rahisi, things aren't easy in that way dude...

Utawaingiza chaka bure, let them be Humble na wasikilize Chama kinasemaje.
 
Kama wanataka kurud bungeni tena, mahala pekee pa kukimbilia ni CCM tu, no any other option
 
Mwenyekiti mpya wa CHADEMA ameshatoa masharti ya nyie kurejea kwenye chama chake. Masharti hayo ni magumu na hata kama mtarejea CHADEMA, hakuna uwezekano wa nyie kuwa wagombea wa ubunge wa majimbo wala wa viti maalum. Mtabaki kuwa wanachama wa kawaida tena chini ya uangalizi maalum kama alivyotamka huyo mwenyekiti mpya. Vipaji vyenu vitakuwa vimehitimishwa.

Nchi yetu inatambua vipaji vyenu na michango yenu makini yenye busara ya kuikosoa na kuirekebishs serikali kipindi chote mlichokuwa upande wa upinzani. Taifa lilifaidika sana kwa michango yenu hiyo na lingependa muendelee kwa nafasi hizo.

Hivyo basi tunawashauri muhamie chama cha kijana mwenzenu makini na mzalendo cha ACT ili mkagombee ubunge wa majimbo au wa viti maalum kupitia chama hicho. Tuna uhakika mkifanya hivyo mtaendelea kuwa wabunge na sisi kuendelea kufaidia na michango yenu ya kistaarabu ya kuikosoa na kuirekebisha serikali yetu kwa manufaa yetu sote.

Pia soma=> Halima Mdee na Wenzake 18 walifukuzwa CHADEMA kwa Usaliti, Nafasi yao Haipo tena na haitokuja kuwepo

Nyie hamtakuwa wa kwanza kufanya hivyo. Maalim Seifu Hamad Sherifu alifanya hivyo na timu yake baada ya kuvurugana na Lipumba huko CUF. Hivyo ingalipendeza hata wale waliokuwa timu Mbowe wakang'oa nanga na kujiunga na ACT wazalendo.

Tungalipenda Zitto Kabwe akawa mbunge na KUB ajaye. Tungependa kuwa na chama kikuu cha upinzani kingine huku Tanzania bara kikichuana kushika dola badala ya hiki kimoja cha chadema kinachodharau vyama vingine na kuviita CCM B. Ni muda mwafaka sasa watu kama Bony Yai, Mrema, Kagaila, Wenje, Yericco na wengine wenye wa aina hiyo wakajiunga na kuimarisha ACT wazalendo.

Tatizo hao wote uliowataja kwenda ACT, sio maarufu kisiasa, hawana influence, yaani sio mtaji kisiasa, so hawana impact kokote kule wakienda, wao pia wanajua
 
Njia pekee kwao kurudi bungeni ni kutangaza rasmi kujiunga ccm kwa sababu wale ni wana ccm tangu walivyopewa huo ubunge kimagumashi hawana ushawishi wowote tena
 
Back
Top Bottom