Pre GE2025 Ushauri: Halima Mdee na wenzake 18 taifa letu bado linahitaji michango yao ya hekima, busara na ustaarabu wa kuikosoa serikali yetu. Wajiunge ACT

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hao wanawake ni wabobevu kwenye siasa,hivi karibuni watatangaza wanaenda wapi,subiri tu
Swali kuu alilouliza Lisu litawaandama kokote waendapo. Wajitulilie wasubiri ukuu wa wilaya, na teuzi zingine toka kwa aliewafadhiri huo ubunge
 
Waende tu hata CCM sisi tulishamalizana nao kitambo sana
 
Kwan wao ndio wanasiasa pekee wa kike ambao wapo Tanzania,hatuna wengine ambao wapo vizuri? Hawa ni wachumia tumbo achaneni nao.
 
Wewe ndiye ulitakiwa uitwe Dr. halafu huyo muanzisha uzi aitwe kilaza Akili.
Kongole sana.
Uadilifu ni nguzo kubwa ya uongozi.
 
Kuna mahali nadhani unashindwa kunielewa, na kwa sababu mimi nimetoa maoni kwa nafasi yangu ya mwananchi, Mtanzania.

Nawe, naona umetoa maoni kama shabiki wa Mdee na wenzake. Na kwa bahati mbaya masuala yanayohusu nchi hayataki ushabiki bali uhalisia.

Unajua ukijumlisha malipo yao ya jumla kwa Ubunge wao haramu kwa kipindi cha miaka mitano ni karibia bilioni 5 x 19?

Huwa siko kwenye ushabiki katika masuala yanayohusu nchi yangu. Kwani hakuna eneo jingine duniani naweza kuita ni nchi yangu ya asili.

Ova
 

2015 ni kesi nyengine kabisa, lowasa alitoka CCM, hapa tunazungumzia vyama vya upinzani
 
Tatizo hao wote uliowataja kwenda ACT, sio maarufu kisiasa, hawana influence, yaani sio mtaji kisiasa, so hawana impact kokote kule wakienda, wao pia wanajua

Usajili wa uhakika wa ACT ni Mbowe , hao wengine ni jalizia tu
 
Snitch hata siku moja hajawahi kua na uchungu na TAIFA lake zadi ya tumbo lake.
Taliban's wangewapiga chuma live.
KAZI ni kipimo cha UTU
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…