Ramthods
JF-Expert Member
- Jun 2, 2009
- 515
- 187
Wadau,
Mimi na mwenza wangu tunatarajia kupata mtoto wetu wa kwanza mwishoni wa April, au mwanzoni nwa May Mungu akijalia.
Kwa sasa mama anafanyia clinics pale Marie Stopes, Mwenge. Hatuna insurance, so nalipa toka mfukoni.
Nimefikiria kuwa ajifungulie pale pale, lakini sina uhakika sana kama ni pazuri, ukichukulia huyu ndio mtoto wa kwanza, so sina kabisa uzoefu.
Nimejaribu kucheki gharama za AghaKhan, ila naona zipo juu sana. Kwa mfano, kama ikitokea akajifungua kwa operation, basi gharama ni kama Mil 4 kasoro kidogo.
I would be confortable paying somewhere around 1.5Mil kwa kila kitu.
Ningefurahi sana kama ningepata ushauri wowote toka kwa wadau wenye uzoefu kuhusu uchaguzi wa hospitali.
Asanteni sana.
Ram
Mimi na mwenza wangu tunatarajia kupata mtoto wetu wa kwanza mwishoni wa April, au mwanzoni nwa May Mungu akijalia.
Kwa sasa mama anafanyia clinics pale Marie Stopes, Mwenge. Hatuna insurance, so nalipa toka mfukoni.
Nimefikiria kuwa ajifungulie pale pale, lakini sina uhakika sana kama ni pazuri, ukichukulia huyu ndio mtoto wa kwanza, so sina kabisa uzoefu.
Nimejaribu kucheki gharama za AghaKhan, ila naona zipo juu sana. Kwa mfano, kama ikitokea akajifungua kwa operation, basi gharama ni kama Mil 4 kasoro kidogo.
I would be confortable paying somewhere around 1.5Mil kwa kila kitu.
Ningefurahi sana kama ningepata ushauri wowote toka kwa wadau wenye uzoefu kuhusu uchaguzi wa hospitali.
Asanteni sana.
Ram