Boss la DP World
JF-Expert Member
- Dec 12, 2021
- 2,318
- 8,464
Kwa kuongezea hata bunge wapewe DP World mkuuTumewafukuza wamasai Loliondo ili kuwapa waarabu kupaendeleza, tupo kwenye hatua za mwisho kuwapa DP World bandari zote za Tanganyika kuziendeleza, kuna tetesi kuwa misitu yote pia tumewapa watusaidie.
Nashauri tuwape wizara ya maji na wizara ya nishati ili watusaidie pia kusambaza maji ya uhakika na umeme nchi nzima.
Moderators mawazo hayapigwi rungu.
Naunga mkono hoja.Tumewafukuza wamasai Loliondo ili kuwapa waarabu kupaendeleza, tupo kwenye hatua za mwisho kuwapa DP World bandari zote za Tanganyika kuziendeleza, kuna tetesi kuwa misitu yote pia tumewapa watusaidie.
Nashauri tuwape wizara ya maji na wizara ya nishati ili watusaidie pia kusambaza maji ya uhakika na umeme nchi nzima.
Moderators mawazo hayapigwi rungu.
Tumewafukuza wamasai Loliondo ili kuwapa waarabu kupaendeleza, tupo kwenye hatua za mwisho kuwapa DP World bandari zote za Tanganyika kuziendeleza, kuna tetesi kuwa misitu yote pia tumewapa watusaidie.
Nashauri tuwape wizara ya maji na wizara ya nishati ili watusaidie pia kusambaza maji ya uhakika na umeme nchi nzima.
Moderators mawazo hayapigwi rungu.
CCM imeshaposwa kwa Maarabu, linalosubiriwa sasa ni tulio la kuvishwa shela na kuolewa rasmi.Tumewafukuza wamasai Loliondo ili kuwapa waarabu kupaendeleza, tupo kwenye hatua za mwisho kuwapa DP World bandari zote za Tanganyika kuziendeleza, kuna tetesi kuwa misitu yote pia tumewapa watusaidie.
Nashauri tuwape wizara ya maji na wizara ya nishati ili watusaidie pia kusambaza maji ya uhakika na umeme nchi nzima.
Moderators mawazo hayapigwi rungu.
HahahaaaCCM imeshaposwa kwa Maarabu, linalosubiriwa sasa ni tulio la kuvishwa shela na kuolewa rasmi.
Nakubaliana nawe kama tutapata maji safi na kwa haraka na bei nafuu tunangoja niniTumewafukuza wamasai Loliondo ili kuwapa waarabu kupaendeleza, tupo kwenye hatua za mwisho kuwapa DP World bandari zote za Tanganyika kuziendeleza, kuna tetesi kuwa misitu yote pia tumewapa watusaidie.
Nashauri tuwape wizara ya maji na wizara ya nishati ili watusaidie pia kusambaza maji ya uhakika na umeme nchi nzima.
Moderators mawazo hayapigwi rungu.
Naam, naungana nawewe mkuuNaunga mkono hoja ila pia naongezea kuwa tuwape ikulu au taasisi ya urais maana waliopo wamekiri kushindwa kusimamia tu hiyo bandari hadi wakaamua kuuza kitu ambacho kinadhihirisha kuwa hiyo taasisi imefeli pia