CaLL of Duty..
Member
- Jan 5, 2016
- 13
- 2
MmhKwa hiyo usipocheka wewe unadhani na wengine hawacheki??Inawezekana una stress zako hata Mr Bean hawezi kukuchekesha
Tupia kilichowahi kukuchekesha mkuuKwa hiyo usipocheka wewe unadhani na wengine hawacheki??Inawezekana una stress zako hata Mr Bean hawezi kukuchekesha
Hachekeshi ndio ukwlUshauri mzuri kwako,
Usipende watu waishi unavyotaka wewe, wafanya shughuli unazotaka wewe. Humjui, humlishi na wala humvishi. Pigania maisha yako yake mwachie ndiyo kaamua vile, alishawahi kukwambia kuchekesha hapati faida yeyote hadi useme hayo.
Alikwambia analala njaa kisa kuchekesha?
Alikuomba ushauri?
PAMBANA NA HALI YAKO KABLA HUJAPARAMIA YA MWINGINE
Halafu anapenda sana kukosoa wenzake...haipendezi kabisa.ANAGANGA NJAA.MIL 500 KAIMALIZIA CHOONI,HANA JINSI NAYE AONEWE HURUMU TU KAMA DR SHIKA
Huyu jamaa anafosi na anapenda umaarufu. At least kwenye kipindi cha choice FM anajitabidi
Idrisa sultan nikijana mmoja mjanja mjanja sana tukumbuke aliwahi kuwa mshindi wa mashindano makubwa ya Big brother Afrika na akajinyakulia kitita kikubwa cha pesa huyu jamaa ni mtu maarufu sana hapa nchini ....ulioletwa na ushindi wake wa BBA na kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Tanzania sweetheart na mzungumzia mwanadada wema sepetu...Ila kilichofanya niandike Uzi huu ni Kipindi Cha Idris kinachorushwa na Clouds Tv kinachojulikana Kwa jina la sio habari...kikiwa na maudhui na dhumuni la kuchekesha ....ila mimi sion kama kuna kichekesho naona Idris anatumia nguvu nyingi kuchekesha sioni kama idris ni mchekeshaji mzuri....kwangu nakataa kabisa ...nampa ushauri aendelee na biashara yake ya Viatu aachane na Tasnia hyo ....nionavyo mimi au kuna mtu anae mkubali ....jamani...tusaidiane kumfikishia ujumbe..
Dah bepariiiakauze viatu... anajichekesha mwenyewe na kucheka mwenyewe.....
awaangaie kina Joti na Bepari la Kihaya wanavyokuwa serious kwenye kazi zao, tunaishia kucheka wenyewe tu
Mambo vp Joseverest? mbona umerudi kimya kimya za ulikotoka?Muache ndio maisha aliyochagua kwa hiyo fursa kama ipo muache apige comedy na viatu...mjini hapa
Dogo pepa la form 4 lilikuaje aise!Muache ndio maisha aliyochagua kwa hiyo fursa kama ipo muache apige comedy na viatu...mjini hapa