To be honest sioni comedy kwake ... sija wai kucheka chochote kutoka kwa huyu jamaa..
Wapo wanao cheka wapo wasio cheka... Tanzania tuna comedians wengi sana am sure top 20 huyu haiingii tukianza kuwa panga hapa, wakina kiwewe,mkwere,masanja, mpoki, joti, katarina karatu, mzee majuto,kipepe,mkali wao, bambo,kigwendu, aisee list ni ndefu mno!
Ali wai kuja Mwanza some past years nika sema hapana em leo nika jionee comedy ya huyu Idris nasikia ni shida mjini sasa hivi....
Bullshit! Hakuna alicho fanya ... Rubbish wakina Eric Omondi na yule mwenzake ndio walifanya watu waka cheka ... nilikua disappointed sana... toka hapo sikutaka kufatilia tena career yake hio...
Ushauri: Standy up comedy sio mchezo tena hakuna comedy ngumu kama stand up comedy : Lazima uwe mtu wa kwenda na wakati, mtu wa adventures , safiri kadri uwezavyo maeneo mbali mbali nje na ndani ya nchi kusanya stories unazo kutana nazo uwapo safarini, jifunze culture za watu mbalimbali ikiwemo lugha, vyakula, uvaaji, matamshi, tembea na ongea yao, soma vitabu na articles mbalimbali kufungua ubongo na kujua yanayo jiri...
Stand up comedy una kaa naku jitungia vichekesho... ? Mfano mdogo chukua stand up comedy ya Kevin Hart na Trevoh Noah uta gundua hawa ni watu wanao explore mno vitu.. wana soma articles, wana safiri sana, wana jifunza cultures mbalimbali hii ina wasaidia kua na stock nyiiingi sana ya vitu vya kuwa chekesha watu .