Ushauri ikitokea umekaa na mrembo kwa daladala nini cha kufanya?

Mimi nikae namwanamke mzuri au.mbaya ..huwa nahakikisha namchekesha kiasi kwamba kuna mawili..

Aniombe yeye mwenyewe namba. Au km nipo interested nimuombe namba na lazima anipe tu.

Ivo mimi naamini kwa mwanamke yoyote nayekutana naye kwa mara yakwanza Lazima nimfanye acheke.
 
Naogopa kuchangia huwenda ni mdemu wangu utakaa naye
 
Kwa Sisi Wanaume.

AISEEEEee kukaa na Mwanamke mzuri MNAENDANA kwenye hiace .. Afu mpaka unashuka kituoni hujamwambia kitu chochote. Mi huo nauwita UZEMBE KAZINI!!
 
Kwani ulijua atapanda? Kama kila dem utakaekaa nae kwenye daladala umtongoze,je utatongoza wangapi?
 
Ukishakaa kwenye siti hakikisha unamuangalia kwa kumkazia macho halafu mchekeshe then mlipie nauli na mpe pesa zaidi! Mpe pesa kadri inavyowezekana, mpe pesa nyingi, mpatie hela, jitahidi kumpatia fedha, na mwisho hakikisha unamwachia fedha kwa ajili ya matumizi.
 
Aah me huwa nampotezea balaaa.Ndo kwanza nafungua jf nafanya yangu.Sema atauliza tu ndo nini hiyo?si unajua wadada Kwa kupenda mitandao.Sema jf wengi hawaijui.
aha haaa a
 
Hahahaaa, umenifurahisha mkuu. Kuna siku nimesafiri kwenda mkoani nimekaa na mdada mkali balaa, nikaanzisha story akawa anajibu chache chache. Tulipofika Chalinze nikanunua karanga soda na juice, nikamgawia akakataa. Nikajiemea poa tuu. Kituo kilichofuata nikanunua apple, yaani alilipokea kwa tabasamu kali. Kuanzia hapo tukawa friends na namba alinipa ila sikumfuatilia mpaka leo namba ninayo. Ila safari ilikuwa tamu yaani niliona tumewahi kufika
 
Nshagonga wengi kwa staili hyo
 
Ukiona umekaa naye basi unanunua diamond karanga mbili halaf unampa moja
Najua atakataa tuu kula, baada ya hapo unaanzia hapo hapo stori. Usisahau na kumlipia nauli asee
Uzuri wa mwendokasi kila mtu anakuwa ameshalipa nauli yake.
 
Usidhani kila mwanamke unayekutana naye ni mjinga au ana akili ndogo kama zako.

Sasa hivi kwenye mabasi watu wote makini hawakubali ukarimu wa kukaribishwa bites kama biscuit na karanga and likes, kuna watu wengi wameshaibiwa kwa kuwekewa dawa za usingizi kwenye vitu hivyo, ila kitu kama apple hakina hizo risk.

Alipokataa maana yake alikuwa anajilinda kumpoison, na alipokubali aliona mazingira uliyonunuwa hizo apple hayana madhara.

Una smartphone yako, ukipanda basi msalimu tu baada ya hapo kuwa busy na Internet yako, na mtu kama mimi sipandi basi lisilokuwa na USB port kwahiyo mimi ninapokuwa safarini hata uwe mwanamke mzuri kiasi gani au mwanaume ujuwe wazi wewe ndio utakuwa na kibaruwa cha kunisemesha mimi, mimi nikishakusalimia nikikaa kwenye internet huwa siboreki sihitaji other company. Huwa sielewi wenzetu mna matatizo gani?
 
Reactions: Cyb
Utaacha lini uzwazwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…