connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 2,190
- 3,039
Safari ya Dar-Mwanza inachosha ili kupunguza muda wa safari kamata SGR mpaka Dom (kuwasili saa 4 asubuhi) kisha kwea Basi mpaka Mwanza.
Asanteni
Asanteni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mateso haswa, na mabus yenyewe hayako comfortable sana.Safari ya mabasi ni mateso.
Ukifika salama baada ya safari unakuwa unatembea kama zombie.
Hapana aisee .
Hata hizo VVIP unachoka tu.Shida ya nini kupanda na kushuka na wakati nikikwea ALLY'S VVIP kishefa kabisa hadi Mwanza
Mada ni basi na treni achana na ndegeHata hizo VVIP unachoka tu.
Luxury ni ndege tu tena first class ila haya mabasi ni michosho tu.
Gharama inakuwaje ?Safari ya Dar-Mwz inachosha ili kupunguza muda wa safari kamata SGR mpaka Dom kisha kwea Basi mpaka Mwanza. Asanteni
Changamsha komwe hilo. Unataka utafutiwe kila kitu?Gharama inakuwaje ?
Ufike Dodoma ulikute basi unalotaka kupanda lipo, unaweza kushtukia unakuja kusubiri kupanda basi uliloliacha DSM saa 12, wakati ulippondoka kwa hiyo SGR, sijui utakuwa umepunguza nini.Safari ya Dar-Mwanza inachosha ili kupunguza muda wa safari kamata SGR mpaka Dom kisha kwea Basi mpaka Mwanza.
Asanteni
wenye mabasi Dom watumie fursa kutega mingo station ya SGR Dodoma, mtu akishuka anakwea directUfike Dodoma ulikute basi unalotaka kupanda lipo, unaweza kushtukia unakuja kusubiri kupanda basi uliloliacha DSM saa 12, wakati ulippondoka kwa hiyo SGR, sijui utakuwa umepunguza nini.
Asante 🙏🏿🙏🏿🙏🏿Safari ya Dar-Mwanza inachosha ili kupunguza muda wa safari kamata SGR mpaka Dom (kuwasili saa 4 asubuhi) kisha kwea Basi mpaka Mwanza.
Asanteni
Washajiongeza. Watu wanaochukua treni mpaka Dom then bus mpaka Mwz wamekuwa wengi.wenye mabasi Dom watumie fursa kutega mingo station ya SGR Dodoma, mtu akishuka anakwea direct
Seemed natural ku adjust departure time kuruhusu wanaofika na SGR wapande basiWashajiongeza. Watu wanaochukua treni mpaka Dom then bus mpaka Mwz wamekuwa wengi.
SimpleUzi tayari?
Good idea, inapaswa wafahamu masaa treni inafika.wenye mabasi Dom watumie fursa kutega mingo station ya SGR Dodoma, mtu akishuka anakwea direct
Utakuwa umepunguza uchovu wa safari, lakini muda ni pale pale.Ufike Dodoma ulikute basi unalotaka kupanda lipo, unaweza kushtukia unakuja kusubiri kupanda basi uliloliacha DSM saa 12, wakati ulippondoka kwa hiyo SGR, sijui utakuwa umepunguza nini.