Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sheikh kulikoni? Wagalatia wanatafuta kikMbona tunatafutiana Bann zisizo na ulazima mkuu?!
Kwa taarifa yako zimekuja chanjo 1m, wahitaji ni zaidi ya 10m, tupo wastani wa 60m, kila watu 60 ni 1 tu atachanjwa. Una hoja ya kusimamisha shughuli za watu 59?Katika kuhakikisha kila mwananchi anachanjwa inapaswa kutengwa siku maalum ya chanjo nchi nzima Kama ilivyo siku ya uchaguzi Mkuu
Hizo chanjo ziwekwe pembeni ya Bar huuziwi bia bila chanjo.
Kwa chanjo mil 1? Hamjui kuwa wengi hamna hata vigezo vya kuipata hiyo chanjo?
Wajinga nyie
Mnalialia wakati hata vigezo vya kupata chanjo hamna. Wajinga nyie. Hizo chanjo mtazisikia tuMjinga ni wewe Chief!
Unaefikiri; Muonja Asali hachongi Mzinga!!