Ushauri jamani,Ni kwa hii Allegy nifanyaje!!

Ushauri jamani,Ni kwa hii Allegy nifanyaje!!

Kante98

Member
Joined
Nov 26, 2018
Posts
15
Reaction score
13
Habari wana Jf!!
Nina Allergy na mavumbi je hii hali naweza nikapata dawa ikaisha kabisa.Huwa napiga chafya mnoo mpaka nahisi joto..huwa natumia piritoni lakini hazini saidii kutuliza hali.
Ahsante.
 
Habari wana Jf!!
Nina Allergy na mavumbi je hii hali naweza nikapata dawa ikaisha kabisa.Huwa napiga chafya mnoo mpaka nahisi joto..huwa natumia piritoni lakini hazini saidii kutuliza hali.
Ahsante.
pole chief, dawa kuu hapo ni kuepuka hayo mavumbi ila ikitokea umeshapatana nayo ni heri utumie Cetrizine zinasaidia sana kutuliza.
 
pole chief, dawa kuu hapo ni kuepuka hayo mavumbi ila ikitokea umeshapatana nayo ni heri utumie Cetrizine zinasaidia sana kutuliza.

Ahsante mkuu..nitazitafuta nione zinan saidia je? Najitahidi kuepuka ila mazingira nayo ni changamoto angalau kidogo mvua zinavyonyesha.
 
Back
Top Bottom