Ushauri: Je nimalizie mwaka wa 3 Tanzania au nje

Ushauri: Je nimalizie mwaka wa 3 Tanzania au nje

Singida ndio home

JF-Expert Member
Joined
Feb 23, 2012
Posts
3,188
Reaction score
3,370
Habari zenu members, naombeni ushauri wenu maana hapa nilipo nipo katika
msongo wa mawazo, ni kwamba mimi nasoma chuo flani hivi, bachelor of accountancy
nipo mwaka wa pili mwakani ikibidi ntaingia mwaka wa 3, lakini kuna ndugu yangu
anaishi uingrerza amenishauri nimalizie mwaka wa 3 huko uingereza, uingereza
nimewahi kwenda mara moja tu kwa wiki mbili mwaka huu, je ni uamuzi upi utakuwa
sahihi kwangu, members ushauri wenu ni muhimu sana kwangu
 
Hvi kuna kuhama chuo ukiwa tayari uko mwaka wa pili?
 
Back
Top Bottom