Ushauri: Jiondoe hapa JF Sports kama timu yako haipo kimataifa

Ushauri: Jiondoe hapa JF Sports kama timu yako haipo kimataifa

Yaani wajifunze kutolewa kila wanapofika robo fainali? Waarabu walipolia mkatinga nusu fainali? Kuna fyuzi imekatika vichwani mwenu mashabiki wa Ngada fc sio bure!
Mkuu kwanza unaanzaje kubishana na CAF failure [emoji23]
 
Salaam wakuu

Lengo la kuwepo hapa jf sports ni kupeana ushauri kuhusu mambo ya soka....lkn Je Kuna umuhimu wa kuwepo hapa kama timu Yako imetolewa/ haipo mashindano ya kimataifa (CAF)

Ushauri

Mimi naona ndugu zetu wanalunyasi wote muhamie jukwaa la mapenzi na mahusiano......mkaeendeleze kujifunza kula kimasihara ricky boy tunaomba pokea hizo kolo zote

Sababu

Kuendelea kudiscuss nao ( wanalunyasi) hapa jukwaani watu walio feli kimataifa ni sawa na mtu mwenye elimu kubwa ya masters/ uprofesa kupokea ushauri Kwa mtu wa Drs la 7.........it's unprofessional and haikubaliki

Swali wakuu: Kwanini mfungaji wa wydadi alishangilia staili ya mayele View attachment 2603426
Siondoki
 
Mods wafanye mpango makolo wasiruhusiwe kuchangia nyuzi hapa jf sports.
Utashauriwa nini na roborobo fc.
 
Back
Top Bottom