Ushauri: Jiondoe hapa JF Sports kama timu yako haipo kimataifa

Yaani wajifunze kutolewa kila wanapofika robo fainali? Waarabu walipolia mkatinga nusu fainali? Kuna fyuzi imekatika vichwani mwenu mashabiki wa Ngada fc sio bure!
Mkuu kwanza unaanzaje kubishana na CAF failure [emoji23]
 
Siondoki
 
Mods wafanye mpango makolo wasiruhusiwe kuchangia nyuzi hapa jf sports.
Utashauriwa nini na roborobo fc.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…