Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Unapenda vitu vitamu wewe.π
Saana tuunapenda vitu vitamu wewe
Ukishushia na vile vitu vichungu inakuwa powa zaidiSaana tu
Acha kabisaππππ€Έπ€Έπ€ΈUkishushia na vile vitu vichungu inakuwa powa zaidi
Inabidi uwe mnunuzi sasa,bidhaa inakuja mlangoniAcha kabisaππππ€Έπ€Έπ€Έ
Kwakweli ngoja nijiandaeInabidi uwe mnunuzi sasa,bidhaa inakuja mlangoni
Inalika sana, ila changamoto ni kupata iliyo fresh ndio shida kwa mjini, unakuta imekaa kwenye freezer mpaka kutengeneza uvundo, kuna kama maeneo mawili ivi, niliagiza nikakutana na ladha ambayo sioKwakweli ngoja nijiandae
Fungua kampuni/Jina la biashara
TIN,
Leseni ya hiyo biashara,
Kibali TFDA,
Miundo mbinu ya usafirishaji (friza n.k)
Hivi kumbe wamla mdudu?Inalika sana, ila changamoto ni kupata iliyo fresh ndio shida kwa mjini, unakuta imekaa kwenye freezer mpaka kutengeneza uvundo, kuna kama maeneo mawili ivi, niliagiza nikakutana na ladha ambayo sio
Sawa mkuuSafi , ngoja nifwatilie kwa kina
Mkuu,utaachaje kula vitu vizuri?Hivi kumbe wamla mdudu?
UmetishaMkuu,utaachaje kula vitu vizuri?
Toroka uje uleUmetisha
Haha.. ahsante SanaToroka uje ule
Toroka sasa....Haha.. ahsante Sana