Ushauri juu ya faculty gani ya kusoma (kuchukua) chuo kikuu

HUWEZI KUSOMA FACULTY..! Hamna kitu kinachomewa kinachoitwa Faculty dunia nzima!
 
Hivi unawajua NECTA vizur au unawasikia tu?subiri matokeo kwanza ndo upange hayo mambo yako
 

Asante kaka kwa ushauri.
 

Asante kwa ushauri wako na maneno yako ya busara.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…