Wernery G Kapinga
JF-Expert Member
- Feb 2, 2012
- 376
- 127
Jaman wana JF. Naombeni ushauri juu ya kuweka pesa kidogokidogo kwa ajili ya malengo niliyojiwekea.
Nilianza kufanya hivyo tangu mwezi August 2018. Sasa nakuja kuangalia jana pesa zilizokwepo ni kidogo tofauti na matarajio. Yaani nilitegemea kupata Milion na kitu sasa nimekuta laki 6 tu.
Baada ya kumbana mke wangu vyema amekiri kuwa aliwahi kutoa tu elfu 40 kwa kubana na sindano ya nguo japo mwanzo alikuwa anakataa. Lkn inaonekana mdogo wake ndo kafanya hizo mishe baada ya kumuona dada yake anachukua pesa kwa staili hiyo japo ninapomuuliza ananijibu kimkato Sana.
Sasa Faida ya Kibubu sijaona Bado. Yaani ni Cha chuma lakini still mtu anatoa pesa hasa za noti.
Ushauri wenu tafadhali namna ya kusave pesa au Kama Kuna Design fulani ya Kibubu ambacho mtu hawezi kutoa pesa ikiingia kwa maana ya mtu wa ndani sio mwizi. Tafadhali mnisaidie yaani laki tano nimeibiwa na hapa nawaza namna ya kumrudisha mke wangu kwao walao akakae wiki 3 Halafu arudi tena. Asanteni
Nilianza kufanya hivyo tangu mwezi August 2018. Sasa nakuja kuangalia jana pesa zilizokwepo ni kidogo tofauti na matarajio. Yaani nilitegemea kupata Milion na kitu sasa nimekuta laki 6 tu.
Baada ya kumbana mke wangu vyema amekiri kuwa aliwahi kutoa tu elfu 40 kwa kubana na sindano ya nguo japo mwanzo alikuwa anakataa. Lkn inaonekana mdogo wake ndo kafanya hizo mishe baada ya kumuona dada yake anachukua pesa kwa staili hiyo japo ninapomuuliza ananijibu kimkato Sana.
Sasa Faida ya Kibubu sijaona Bado. Yaani ni Cha chuma lakini still mtu anatoa pesa hasa za noti.
Ushauri wenu tafadhali namna ya kusave pesa au Kama Kuna Design fulani ya Kibubu ambacho mtu hawezi kutoa pesa ikiingia kwa maana ya mtu wa ndani sio mwizi. Tafadhali mnisaidie yaani laki tano nimeibiwa na hapa nawaza namna ya kumrudisha mke wangu kwao walao akakae wiki 3 Halafu arudi tena. Asanteni