Godwin Mmari
Member
- Oct 20, 2014
- 30
- 5
Mkuu, taja zao husika unalotaka kudeal nalo ili tuweze kukusaidia namna ya kukabiliana na changamoto zake. Maana ukisema kilimo cha zao litoalo mafuta yapo mengi sana kuanzia maboga,mti wa msalaka, miwese, mbono, mgude, mkorosho n.k