Godwin Mmari
Member
- Oct 20, 2014
- 30
- 5
WanaJF,
Kutokana na hali halisi ya biashara nchini Tanzania kuwa tete, nimefikiria na kuamua kuwekeza kwenye sekta ya Kilimo cha Nafaka na Mafuta.
Tayari nimepata sehemu za kuanzia kama Kilosa na Ifakara. Nimelazimika kujiunga nanyi hapa kuomba msaada wa ushauri na changamoto za kilimo kwa sasa.
Nimeona mabandiko mengi kule kwenye Ujasiriamali lakini hayako updated ili nijue pa kuanzia. Awali nilikuwa msomaji tu.
Ahsanteni.
Kutokana na hali halisi ya biashara nchini Tanzania kuwa tete, nimefikiria na kuamua kuwekeza kwenye sekta ya Kilimo cha Nafaka na Mafuta.
Tayari nimepata sehemu za kuanzia kama Kilosa na Ifakara. Nimelazimika kujiunga nanyi hapa kuomba msaada wa ushauri na changamoto za kilimo kwa sasa.
Nimeona mabandiko mengi kule kwenye Ujasiriamali lakini hayako updated ili nijue pa kuanzia. Awali nilikuwa msomaji tu.
Ahsanteni.