Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 716
- 643
Mkuu mimi nimefikiria kuchukua hivi viatu vya wadada Ambavyo kariakoo wanauza kuanzia elfu 4 hadi 7 kwa Jumla nikija huku nauza Tsh 8 hadi 12Wewe kitu gan unafikiria ufanye mkuu?utoe options kwanza...
Mkuu mimi nimefikiria kuchukua hivi viatu vya wadada Ambavyo kariakoo wanauza kuanzia elfu 4 hadi 7 kwa Jumla nikija huku nauza Tsh 8 hadi 12
Sent using Jamii Forums mobile app
Salama hiyo Laki moja itatosha nauli na mzigo Dada?Ohh wazo zuri...kila la heri
Nilitaka uliza nikajiongeza atakua ana fare pembeni au anaagiza..salama dearSalama hiyo Laki moja itatosha nauli na mzigo Dada?
Mkuu hili ni wazo zuri sana Ngoja nilitafakari kwa kina zaidiLaki ni ndogo lakini inaweza kukufanya ufike mahali yaani ukuze mtaji kama ifuatavyo..
Chukua 20,000 shona barakoa 150-200 nenda masokoni,kwenye taasisi au wape vijana wakauze kwa shilingi 500 moja.
wapitishie bodaboda,daladala(abiria na madereva) tena kwenye daladala fanya kama wale wajasiriamali wa sabuni uwe muongeaji na uwaelimishe kisha wauzie barakoa ila usipotoshe kuhusu huu ugonjwa. Jikite kuwaeleza faida ya bidhaa yao.
80,000 tafuta mabinti wawili nunua chupa za chai koroga uji wakauze vijiwe mbalimbali asubuhi sana na jioni kwasababu njombe kuna baridi.
Au
Pesa yote kanunue kuku vijiji kwa 7,000 hadi 10,000 kawauzie wenye majiko bar au hotelini ila usiwe na tamaa upate faida kubwa zitakudodea ila ukifocus kwenye kutengeneza wateja wa uhakika hatakama faida ndogo mzigo utakuwa unauza mara kwa mara tena watakusumbua.
vile vile ukiweza ongeza thamani kuku zako sio uwachinje no uza kuku wape wateja ofa ya pilipili au malimao.
e.t.t
Laki ni ndogo lakini inaweza kukufanya ufike mahali yaani ukuze mtaji kama ifuatavyo..
Chukua 20,000 shona barakoa 150-200 nenda masokoni,kwenye taasisi au wape vijana wakauze kwa shilingi 500 moja.
wapitishie bodaboda,daladala(abiria na madereva) tena kwenye daladala fanya kama wale wajasiriamali wa sabuni uwe muongeaji na uwaelimishe kisha wauzie barakoa ila usipotoshe kuhusu huu ugonjwa. Jikite kuwaeleza faida ya bidhaa yao.
80,000 tafuta mabinti wawili nunua chupa za chai koroga uji wakauze vijiwe mbalimbali asubuhi sana na jioni kwasababu njombe kuna baridi.
Au
Pesa yote kanunue kuku vijiji kwa 7,000 hadi 10,000 kawauzie wenye majiko bar au hotelini ila usiwe na tamaa upate faida kubwa zitakudodea ila ukifocus kwenye kutengeneza wateja wa uhakika hatakama faida ndogo mzigo utakuwa unauza mara kwa mara tena watakusumbua.
vile vile ukiweza ongeza thamani kuku zako sio uwachinje no uza kuku wape wateja ofa ya pilipili au malimao.
e.t.t
atafute million best ndo aende bongo aje na zigo LA kutoshaNilitaka uliza nikajiongeza atakua ana fare pembeni au anaagiza..salama dear
Sahiv barakoa ndo biashara iliyobaki Kwa upande WA nguoDuh! ..mabarakoa yalivyo mengi hivyo mkuu?
Viatu pale kariakoo mtaa wa Kongo vinaanzia elfu 4 hadi elfu 7 kwa Jumla imagine kama nikichukua viatu vya elfu 6 mfano kwenye elfu 90 ntapata pair 15 elfu 10 ni ya mzigoSalama hiyo Laki moja itatosha nauli na mzigo Dada?
Sina nyingine nategemea hapo hapo kwenye laki moja hii biashara nishawah kufanya Ila niliacha so natafuta biashara nyingine nipate Mawazo mengineNilitaka uliza nikajiongeza atakua ana fare pembeni au anaagiza..salama dear
wabongo acheze nau kwenye bei na ushawishi...Duh! ..mabarakoa yalivyo mengi hivyo mkuu?
Nenda jukwaa LA biashara utapata mambo yote humoViatu pale kariakoo mtaa wa Kongo vinaanzia elfu 4 hadi elfu 7 kwa Jumla imagine kama nikichukua viatu vya elfu 6 mfano kwenye elfu 90 ntapata pair 15 elfu 10 ni ya mzigo
Sent using Jamii Forums mobile app
Bado nasoma nafanya hivi kwa kuwa nimejikuta nakaa sana nyumbani mpaka nakuwa mzigo mkuu million bado hukoatafute million best ndo aende bongo aje na zigo LA kutosha
Hili ni wazo zuri Ila barakoa naona kama mtu akinunua awezi kununua pia huku zipo nyingi kama naona vilewabongo acheze nau kwenye bei na ushawishi...
barakoa 2 kwa 500 kikubwa apige hesabu apate faida ila tatizo letu ni faida kubwa basi hatuzingatii ubora na usalama na mambo mengine..
NB:Sehemu zingine barakoa za vitenge wanauza 1000-2000
Angalia mengine,Hili ni wazo zuri Ila barakoa naona kama mtu akinunua awezi kununua pia huku zipo nyingi kama naona vile
Sent using Jamii Forums mobile app