Pure Scientific
JF-Expert Member
- Nov 19, 2015
- 716
- 643
Habari zenu Wakuu..
Mimi ni kijana ambaye ni muathirika wa likizo isiyojulikana..
Nimefanikiwa kupata laki moja nimeamua nianze kufanya biashara yoyote..
Naombeni Mawazo ya Biashara wakuu Tukizingatia na janga hili la korona
Nipo Mkoani (Njombe)
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi ni kijana ambaye ni muathirika wa likizo isiyojulikana..
Nimefanikiwa kupata laki moja nimeamua nianze kufanya biashara yoyote..
Naombeni Mawazo ya Biashara wakuu Tukizingatia na janga hili la korona
Nipo Mkoani (Njombe)
Sent using Jamii Forums mobile app