Ushauri juu ya kuanzisha kiwanda cha nyumbani

Joined
Feb 14, 2015
Posts
16
Reaction score
4
Naombeni muongozo nahitaji kufungua kiwanda kidogo cha kuzalisha bidhaa za kusindika na kiwanda cha sabuni za miche mwenye ufahamu au anayefanya ujasiriamali huu naomba anipe maelekezo, naanzaje.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It is posible ila unapaswa kuangalia uhitaji. Chochote unacho taka kufanya angalia uhitaji.

Techinolojia ya sabuni ni moja kati ya techinilojia rahisi sana ndo maana utaona kila aina ya sabuni siku hizi.

Ila haizuii wewe kuanzisha chako. Na muhimu ni kuangali wewe una targeti nini hasa.

Mitambo nazani SIDO wanaweza kuwa nayo hiyo ya sabuni za miche

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na taratibu zinapatikana SIDO?
 
Nakushukuru mkuu ngoja ntachek na sido hope thing wil b good

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wazo zuri sana mkuu
Kwa uzoefu wangu kwenye swala LA usindikaji hasa chakula unahitajika uwe na chumba kimoja na store tu

Store utakuwa unawekea malighafi na chumba utakuwa unazalishia bidhaa zako na kufanya packaging humo humo ndani

Kuhusu sabuni za miche wala haihitaji eneo kubwa sana ila unatakiwa uwe na store yakuhifadhia malighafi kwani madawa ya sabuni hasa costic soda nihatari sana Kwa binadamu

Kuhusu eneo lakuzalishia waweza zalisha hata nje ilimradi pawe na KIVULI tu

Zana za kazi unaweza chonga mwenyewe au waweza nunua vile vikopo Kwa kutengenezea shape, au waweza kwenda sido Kwa ile kampuni ya temso wakakuuzia box moja Kwa 150000
Mabeseni ni Yale makubwa kuanzia Lita 60 mpaka 120, miko ile mikubwa kama yakupika pilau LA shuuli, groves nunua zile ngumu nzito sio zile za buku buku,

Nadhani kwakuanzia hapo si mbaya

love without limits
 
Barikiwa sana kwa huo muongozo uliompa mleta thread
 
Hata Ngosha Apitie Hapa Wale Wakina Abood Washamzid Kete Wakiulizwa Wameagiza Spea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…