Ushauri juu ya kununua gari hizi

Ushauri juu ya kununua gari hizi

Lyma

Member
Joined
May 9, 2017
Posts
38
Reaction score
25
Wapendwa rafiki yangu ameingia dilema. Anaomba ushauri juu ya uchaguzi wa gari ya kununua kati ya hizi option mbili alizonazo.
1. Anunue VITZ kutoka japani
a) year of make 2000
b) imetembea km 71,000
c) ina cc 990
d) inauzwa shs 7.6m mpaka anaishika mkononi lakini bila bima, ambayo atakata mwenyewe
2. Carina TI used hapa TZ with good condition reg number inaanza na C (amehakikishiwa na fundi)
a) imefungwa rim sport na muuzaji
b) ina kamera ya kuonyesha riverse kafunga muuzaji
c) ameweka radio yenye screen. Inplay DVD.
d) imetembea km 127,000
e) spoiler ya kuja na gari.
f) haijawahi kuguswa injini zaidi ya kufanyiwa service ya kawaida.
g) anauza 8m
Ushauri wenu unaombwa sana. Bajeti yake maximum ni 8m.
 
2. Carina TI used hapa TZ with good condition reg number inaanza na C (amehakikishiwa na fundi)
a) imefungwa rim sport na muuzaji
b) ina kamera ya kuonyesha riverse kafunga muuzaji
c) ameweka radio yenye screen. Inplay DVD.
d) imetembea km 127,000
e) spoiler ya kuja na gari.
f) haijawahi kuguswa injini zaidi ya kufanyiwa service ya kawaida.
g) anauza 8m
Ushauri wenu unaombwa sana. Bajeti yake maximum ni 8m.

Hii ndio gari ya kuchukua.

Inamudu safari ndefu, na pia ulaji wake wa mafuta ni mzuri.
 
Wapendwa rafiki yangu ameingia dilema. Anaomba ushauri juu ya uchaguzi wa gari ya kununua kati ya hizi option mbili alizonazo
2. Carina TI used hapa TZ with good condition reg number inaanza na C (amehakikishiwa na fundi)
a) imefungwa rim sport na muuzaji
b) ina kamera ya kuonyesha riverse kafunga muuzaji
c) ameweka radio yenye screen. Inplay DVD.
d) imetembea km 127,000
e) spoiler ya kuja na gari.
f) haijawahi kuguswa injini zaidi ya kufanyiwa service ya kawaida.
g) anauza 8m
Ushauri wenu unaombwa sana. Bajeti yake maximum ni 8m.
Ukiagiza Japan ina bei gani ifike mkononi maana hii uko poa zaidi
Kama kaikagua na fundi ni nzima kila achukue ilaza mkononi sometime zinakuwa na shida boss
Aulize kuuliza bei kwa kuagiza
 
Wapendwa rafiki yangu ameingia dilema. Anaomba ushauri juu ya uchaguzi wa gari ya kununua kati ya hizi option mbili alizonazo.
1. Anunue VITZ kutoka japani
a) year of make 2000
b) imetembea km 71,000
c) ina cc 990
d) inauzwa shs 7.6m mpaka anaishika mkononi lakini bila bima, ambayo atakata mwenyewe
2. Carina TI used hapa TZ with good condition reg number inaanza na C (amehakikishiwa na fundi)
a) imefungwa rim sport na muuzaji
b) ina kamera ya kuonyesha riverse kafunga muuzaji
c) ameweka radio yenye screen. Inplay DVD.
d) imetembea km 127,000
e) spoiler ya kuja na gari.
f) haijawahi kuguswa injini zaidi ya kufanyiwa service ya kawaida.
g) anauza 8m
Ushauri wenu unaombwa sana. Bajeti yake maximum ni 8m.
TI ni nzuri zaidi, ila aulizie hiyo model japan anaweza ipata kwa sh ngapi maana kwa m8 na gari namba c bei ipo juu kidogo,
Kama ni mtu wa masafa mwambie aachane na hiyo vitz bora aongeze ela anunue carina
 
TI ni nzuri zaidi, ila aulizie hiyo model japan anaweza ipata kwa sh ngapi maana kwa m8 na gari namba c bei ipo juu kidogo,
Kama ni mtu wa masafa mwambie aachane na hiyo vitz bora aongeze ela anunue carina
Nashukuru kwa ushauri wako mzuri mkuu.
 
Ukiagiza Japan ina bei gani ifike mkononi maana hii uko poa zaidi
Kama kaikagua na fundi ni nzima kila achukue ilaza mkononi sometime zinakuwa na shida boss
Aulize kuuliza bei kwa kuagiza
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako.
 
ad82ded797231ef58a0dd8b4d63c4d41.jpg


7.5M. Mwambie ashtuke hyoo.

sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.
 
Trump tower mbona unaweka bei alafu unakimbia? PM ili biashara ifanyike.
 
Asichukue lolote kati ya hayo, Vitz imekaaa so kidy yaani is not kind of car ya kusema una kagari. Carina ndio haina swag kabisaa yaani haipimpiki yani hata ulifunge sport ream bado lipolipo tu labda afanye taxi lakini sio kwa matumizi binafsi mbaya zaidi ananunua kwa mtu yaani likichoka carina ndio halitamaniki yani linakua kama libox flani hivii linalotembea bayaa.
Namshuri aongezee kidogo apate at least IST ama the like kama RunX hivii vigari flani vidogo lakini viko smart.
 
Back
Top Bottom