Ushauri juu ya maziwa ya mtoto wa miezi miwili na pointi.

Ushauri juu ya maziwa ya mtoto wa miezi miwili na pointi.

nampendayeye

Senior Member
Joined
Mar 24, 2015
Posts
125
Reaction score
71
Ni maziwa gani mazuri ya mtoto wa umri wa miezi miwili.

Kwa maana wife anataka kumwanzishia mtoto maziwa kwani likizo ya uzazi ndo inaisha.

Naomba msaada wenu wazazi wenye uzoefu na maziwa ya mtoto.
 
Ni maziwa gani mazuri ya mtoto wa umri wa miezi miwili. Kwa maana wife anataka kumwanzishia mtoto maziwa kwani likizo ya uzazi ndo inaisha. Naomba msaada wenu wazazi wenye uzoefu na maziwa ya mtoto.

1. Lactogen 1 made from France.

2.NAN 1 made from Holland.

3.S26 made from Republic of Ireland.

4.Infacare 1 from South Africa.

5. SMA 1 from Republic of Ireland.

namba 1,2,3 na 4 hayo yamethibitishwa na TFDA kutumiwa na mama kwa ajili ya mtoto na nje yana maelekezo yake kwa lugha ya kiswahili, namba 5 TFDA wameyakataza kutumiwa na reason kuwa hayan lugha ya kiswahili nje ya kopo kwa ajili ya matumizi ila bado yapo na yanaingia nchini na watu wanayatumia na ni mazur tu.
 
1. Lactogen 1 made from France.

2.NAN 1 made from Holland.

3.S26 made from Republic of Ireland.

4.Infacare 1 from South Africa.

5. SMA 1 from Republic of Ireland.

namba 1,2,3 na 4 hayo yamethibitishwa na TFDA kutumiwa na mama kwa ajili ya mtoto na nje yana maelekezo yake kwa lugha ya kiswahili, namba 5 TFDA wameyakataza kutumiwa na reason kuwa hayan lugha ya kiswahili nje ya kopo kwa ajili ya matumizi ila bado yapo na yanaingia nchini na watu wanayatumia na ni mazur tu.

Asante sana mpendwa. Mungu akubariki sana tena sana. Kwa hiyo rank ilivyo ndo ubora ulivyo? Au hayana tofauti?
 
Asante sana mpendwa. Mungu akubariki sana tena sana. Kwa hiyo rank ilivyo ndo ubora ulivyo? Au hayana tofauti?

Kwa mujibu wa matumizi kutoka TFDA kuwa SMA hayaruhusiwi, so orodha hiyo ndo ubora wenyewe, lakin kuna uwezo mtoto akayakataa maziwa unayompa kwa hiyo njia pekee ni kuanza na namba 1, akiyakataa au kumfanyia tabu( kuharisha, kutapika au kuumwa na tumbo) unajaribu mengne kati ya hao manne,

Mind you nchi yanapotoka na hivo ndo nijuavo authorised agents wanaoleta hayo maziwa wanayaatoa katika hizo nchi, ukiona nchi nyengne achana nayo, yanaweza kuwaletea matatizo watoto, TFDA wameyathibitisha hayoso kuwa makini na wapi na nani anakuuzia.
 
Ni maziwa gani mazuri ya mtoto wa umri wa miezi miwili. Kwa maana wife anataka kumwanzishia mtoto maziwa kwani likizo ya uzazi ndo inaisha. Naomba msaada wenu wazazi wenye uzoefu na maziwa ya mtoto.

Baba utakuwa umemaliza maziwa ya mtoto
 
Mtoto anatakiwa kunyonya maziwa ya mama six month sasa haya ya makopo mhhhhhh anunue breast pap awe ana mhifadhiwa anapewa mana wenye watoto hufanya kazi half day
 
Mi wangu alianza similac step 1, 0-6 aliipenda
 
Mpaka sasa ni similac tu make hapendi kunyonya tena
Nakushauri mhimize mama amyonyeshe walau four times a day anapokuwa busy alafu wewe akiwa hayupo ndo umpe bottle mtoto
 
Kwanin asimnyonyeshe miez 6 jaman mkamjengea immunity ya kutosha na hata kama anaenda kazin si akamue tena rahis kweli muhimu mama ale vizr tu haya maziwa ya kopo hasa lactogen sio mazur kabisa na mengi feki labda s26 ndo mazur na yenyewe ni expensive hata kama mnauwezo maziwa ya mama ni muhimu jaman
 
Kwanin asimnyonyeshe miez 6 jaman mkamjengea immunity ya kutosha na hata kama anaenda kazin si akamue tena rahis kweli muhimu mama ale vizr tu haya maziwa ya kopo hasa lactogen sio mazur kabisa na mengi feki labda s26 ndo mazur na yenyewe ni expensive hata kama mnauwezo maziwa ya mama ni muhimu jaman

Lactogen ni mazur zaid ya S26 in general yapo lactogen ya south africa ambayo ni feki na original lactogen inatoka france, NESTLE ndo wakala wa hayo maziwa na ni original.
 
mtu kaomba ushauri wa aina ya maziwa anapewa namna ya kumnyonyesha..
nadhani wengi si wazazi na kama ni wazazi basi hawana situation zinazopelekea mtoto kupewa maziwa mengine,
si rahisi kumnyonyesha mtoto miezi sita kama inavyosemekana labda kama mtu ataamua kuacha kazi na kushinda nyumbani.
 
Mtoto anatakiwa kunyonya maziwa ya mama six month sasa haya ya makopo mhhhhhh anunue breast pap awe ana mhifadhiwa anapewa mana wenye watoto hufanya kazi half day

Hata breast pump ni nzur badala ya maziwa ya kopo, inshort mtoto anatakiwa anywe maziwa ya mama tu katika ukuwaji wake from newborn to toddler, ila inatokea shida watoto wengne wananyonya mpaka mama akimaliza kumnyonyesha mtoto anakuwa kachoka, wamama wengne maziwa yao mepesi yaan mtoto haongezeki kilo kinakuwa kiduchu, na watoto wengne hawashibi hao, so haya maziwa ya kopo unaweza kumuongezea ili aendelee kwa ukuaji mzur na hayana shida jaman
 
mtu kaomba ushauri wa aina ya maziwa anapewa namna ya kumnyonyesha..
nadhani wengi si wazazi na kama ni wazazi basi hawana situation zinazopelekea mtoto kupewa maziwa mengine,
si rahisi kumnyonyesha mtoto miezi sita kama inavyosemekana labda kama mtu ataamua kuacha kazi na kushinda nyumbani.

ni kweli kuna mama kuumwa so anakosa nguvu na haswa virutubisho anapungua wakati wa kunyonyesha na maziwa kuwa mepesi na kupelekea njaa kwa mtoto, so unamjalizia maziwa hayo.
 
Hata breast pump ni nzur badala ya maziwa ya kopo, inshort mtoto anatakiwa anywe maziwa ya mama tu katika ukuwaji wake from newborn to toddler, ila inatokea shida watoto wengne wananyonya mpaka mama akimaliza kumnyonyesha mtoto anakuwa kachoka, wamama wengne maziwa yao mepesi yaan mtoto haongezeki kilo kinakuwa kiduchu, na watoto wengne hawashibi hao, so haya maziwa ya kopo unaweza kumuongezea ili aendelee kwa ukuaji mzur na hayana shida jaman

Breast pump hafu anaya hifadhi vizuri wakati mama hayupo mtoto anatumia. Kama maziwa ya mama mepesi afuate taratibu za vyakula vinaongeza nutrients kama vyakula walavo kina mama walio na pre mature mtoto ataongezeka. Hayo ma lactogen kujidaganya tu. Mtoto anayenyonya vizuri haugui hadi mwaka mzima toka kuzaliwa.
 
Breast pump hafu anaya hifadhi vizuri wakati mama hayupo mtoto anatumia. Kama maziwa ya mama mepesi afuate taratibu za vyakula vinaongeza nutrients kama vyakula walavo kina mama walio na pre mature mtoto ataongezeka. Hayo ma lactogen kujidaganya tu. Mtoto anayenyonya vizuri haugui hadi mwaka mzima toka kuzaliwa.

usemayo kweli dada yangu, nimekuwa muuzaji wa hayo maziwa kwa kipindi tu, tatizo lipo kwa hawa dada zetu wanaopewa mimba vichochoroni na uwezo hawana, wanashindia asubuh vitumbua viwili, chai, ugali kwa kachumbari so inakuwa hatari kwa mtoto kwani kwenye maziwa hapati kitu zaid ya maji mepesi.
 
usemayo kweli dada yangu, nimekuwa muuzaji wa hayo maziwa kwa kipindi tu, tatizo lipo kwa hawa dada zetu wanaopewa mimba vichochoroni na uwezo hawana, wanashindia asubuh vitumbua viwili, chai, ugali kwa kachumbari so inakuwa hatari kwa mtoto kwani kwenye maziwa hapati kitu zaid ya maji mepesi.
Hili nalo ni tatizo ulaji mubovu una wa cost wengi hasa ulaji wa kimazoea ambao kamwe haumuongezei mtoto uzito. Life lilizo tight mtu anabeba tu matokeo yake sasa
 
Back
Top Bottom