Ushauri juu ya mwanamke mvivu, Nawaza nimrudishe kwao

Ushauri juu ya mwanamke mvivu, Nawaza nimrudishe kwao

Rugeji

New Member
Joined
Feb 11, 2013
Posts
3
Reaction score
4
Greetings of the day Ladies and Gentlemen,

Nina changamoto moja naomba ushauri wenu wanajamvi nina mke wa ndoa ya miaka 5 lakini kwa miezi ya hivi karibuni amekua hapendi kupika chakula kwa ajili ya familia yaani mpaka alazimishwe na pia hataki kushiriki tendo la ndoa ukimuuliza hana majibu yenye mashiko anaishia kusema yuko sawa.

Sasa sioni umuhimu wa yeye kuwepo kwangu kama majukumu ya msingi hawezi yatimiza. Nawaza nimrudishe kwao na kuanza utaratibu wa talaka nitakua nimekosea?

Je Kisheria taratibu za talaka zinaruhusu?
 
Kaonja utamu wa nje ya Ndoa huyo...

Kwahyo kumrudisha kwao ni sawa na kumhukumu kifo mtu alietaka kujiua ikashindikana.
 
Bro hao huwa ni mashetwani wamemuingia cha kwanza muingilie akigoma tumia hata nguvu pili usikubali kumuacha mkeo kirahisi
 
Kweli mzigo mzito mpe mnyamwezi hivi hakuna wanyamwezi jirani hapo wakusaidie huo mzigo mzito waukague km kweli hautaki kupigwa jeki?
 
Back
Top Bottom