Dr Justice
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 797
- 855
Heshima mbele Wakuu, nina dada yangu ameugua muda mrefu kdg na hosp wamekuwa wakimwambia ni tatizo la nyongo imezidi mwilini na kuzagaa kny damu!
Kwa hakika ametumia dawa nyingi na tumeshawaona specialist wengi lkn bado hali yake inazidi kuwa mbaya! Naombeni wataalamu hapa wanisaidie kujua nyongo ikisambaa kny damu dalili zake ni zipi na inasababishwa na nini?! Nawiwa kujua hilo kwa kuwa imetupa utata sana hivyo natamani nipate maoni ya wakuu hapa,vile vile naomba kujua kama hili tatizo huwa linahitaji operation.
Asanteni
Kwa hakika ametumia dawa nyingi na tumeshawaona specialist wengi lkn bado hali yake inazidi kuwa mbaya! Naombeni wataalamu hapa wanisaidie kujua nyongo ikisambaa kny damu dalili zake ni zipi na inasababishwa na nini?! Nawiwa kujua hilo kwa kuwa imetupa utata sana hivyo natamani nipate maoni ya wakuu hapa,vile vile naomba kujua kama hili tatizo huwa linahitaji operation.
Asanteni