davie dee
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 934
- 1,213
Habari zenu wana MMU!
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna jamaa yangu hapa yupo kwenye mahusiano na mpenzi wake yapata miaka 6 hivi.
Sasa jamaa alipanga na mpenzi wake kwamba binti akimaliza chuo moja kwa moja afikie alipopanga msela asirudi kwao ili waendeleze mahusiano yao wakiwa kwa msela kwani wazazi wao walikua wanafahamu, basi msela kajipanga ghetto ili demu wake akija aje akute fresh lakini cha kushangaza siku dem anakuja kaja na mtoto mdogo wa miezi tisa.
Alf anamwambia msela alibeba mimba kwa bahati mbaya akaogopa dhambi ya kutoa.
Jamaa yupo njia panda haamini.....
Mbaya zaidi kuna ada alilipa wakati binti yupo chuo na pesa ndogo ndogo alkua akimtumia.
Kaja kuniomba ushauri amtimue dem au maana kampa siku tatu asimkute maana kamsusia hadi ghetto msela karudi kulala kwao.
Binti nae anadai baba mwenye mtoto kamkataa.
Kuna kipindi dem hakurudi kwao akiisingizia anasubiri amalize kabisa maana alkua kabakiza mwaka wa mwisho na ndo kipindi kumbe alkua analea mimba
Mi nimemshauri amtimue tu maana kesho hakawii kuleta mengine.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna jamaa yangu hapa yupo kwenye mahusiano na mpenzi wake yapata miaka 6 hivi.
Sasa jamaa alipanga na mpenzi wake kwamba binti akimaliza chuo moja kwa moja afikie alipopanga msela asirudi kwao ili waendeleze mahusiano yao wakiwa kwa msela kwani wazazi wao walikua wanafahamu, basi msela kajipanga ghetto ili demu wake akija aje akute fresh lakini cha kushangaza siku dem anakuja kaja na mtoto mdogo wa miezi tisa.
Alf anamwambia msela alibeba mimba kwa bahati mbaya akaogopa dhambi ya kutoa.
Jamaa yupo njia panda haamini.....
Mbaya zaidi kuna ada alilipa wakati binti yupo chuo na pesa ndogo ndogo alkua akimtumia.
Kaja kuniomba ushauri amtimue dem au maana kampa siku tatu asimkute maana kamsusia hadi ghetto msela karudi kulala kwao.
Binti nae anadai baba mwenye mtoto kamkataa.
Kuna kipindi dem hakurudi kwao akiisingizia anasubiri amalize kabisa maana alkua kabakiza mwaka wa mwisho na ndo kipindi kumbe alkua analea mimba
Mi nimemshauri amtimue tu maana kesho hakawii kuleta mengine.