Ushauri: Kamaliza chuo kaja na mtoto si wangu

Ushauri: Kamaliza chuo kaja na mtoto si wangu

mtoto ana miezi 9 huyo dogo aache ufala this time round ampachike na yeye mimba huku akiendelea kumtunza mtoto wa mwanaume mwenzie wanaume lazima tusaidiane
 
Habari zenu wana MMU!

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kuna jamaa yangu hapa yupo kwenye mahusiano na mpenzi wake yapata miaka 6 hivi.

Sasa jamaa alipanga na mpenzi wake kwamba binti akimaliza chuo moja kwa moja afikie alipopanga msela asirudi kwao ili waendeleze mahusiano yao wakiwa kwa msela kwani wazazi wao walikua wanafahamu, basi msela kajipanga ghetto ili demu wake akija aje akute fresh lakini cha kushangaza siku dem anakuja kaja na mtoto mdogo wa miezi tisa.

Alf anamwambia msela alibeba mimba kwa bahati mbaya akaogopa dhambi ya kutoa.

Jamaa yupo njia panda haamini.....
Mbaya zaidi kuna ada alilipa wakati binti yupo chuo na pesa ndogo ndogo alkua akimtumia.

Kaja kuniomba ushauri amtimue dem au maana kampa siku tatu asimkute maana kamsusia hadi ghetto msela karudi kulala kwao.

Binti nae anadai baba mwenye mtoto kamkataa.

Kuna kipindi dem hakurudi kwao akiisingizia anasubiri amalize kabisa maana alkua kabakiza mwaka wa mwisho na ndo kipindi kumbe alkua analea mimba

Mi nimemshauri amtimue tu maana kesho hakawii kuleta mengine.
Alee tu,waanzie hapo.kwani kuoa mwanamke mwenye mtoto atakufa?haiishagi hio
 
Upole sio shida vishawishi ni vingi na binadamu tumeumbiwa tamaa miaka6 na ukute hawakua karibu kivile kuchapiana nje ipo hio


Vp kama jamaa yako ndo angekua na mtt huyo mdada akakuomba ushauri ungemshauri nn?!
Kwa hiyo vinapotokeaga hivyo vishawishi akili huwa zinabaki nyumbani kabatini ? Kama mwanamke anazijua vizuri siku zake anashindwaje kupambana na vishawishi ? Tatizo kubwa naliona kwa dada zetu la kutokujua siku zao.
 
Huyo jamaa yako ni zezeta! Haiwezekani una mahusiano na mwanamke halafu hamuonani almost two years, huyo mtoto sababisho ni yeye angekuwa anamtembelea Mara kwa Mara wala asingeangukia kwa mwanaume mwingine.

Ushauri wangu amlee mtoto na mama yake na mapenzi yao yaendelee.
 
Namshauri aendelee nae na huyo mtoto awe wake,wabadili cheti cha kuzaliwa ili jina la baba awe yeye,msamaha una nguvu kwenye maisha,kuna siku na yete atakisea mahali atasamehewa
 
Tumechoka kuzungumza kila siku tunasema mchumba hasomeshwi ila watu wabishi

Ila pia huu upuuzi niwakuombea ushauri kweli daah wanaume tumebaki wachache
 
Mzee huu ni uzembe uliotarajiwa maana njemba haina maamuzi
Wewe jamaa si ndiye ulianzisha Uzi wa mazingira hatarishi ya kufanya mapenzi?

Mwenzako @rikyboy akaja na kula tunda kimasihara?

Sasa matokeo yake ndiyo kama haya mimba zisizotarajiwa.
 
Ushauri wenu nmeupitia tamfikishia

lakini jamaa hata kulea mtoto hataki kama wengine mlivo shauri kwani roho inamuuma anahisi baby mama wake ataendelea ku mcheat tu maana mtu mwenyew kazi zake anafanyia nchi jirani
 
Akimaliza aje ghetto bila ndoa? What do you expect from such a lady ambaye anaitwa kuanza maisha anaenda? Manaswara bhana. Alipokuwa chuo aliitwa ghetto wakaanze maisha akaenda akatiwa Mombasa, maana hata circle yake haijui binti mkubwa Kama huyo.Hata uzaz wa mpango haijui. Jamaa amtie mimba nyingine amfukuze.
 
Kwa hiyo vinapotokeaga hivyo vishawishi akili huwa zinabaki nyumbani kabatini ? Kama mwanamke anazijua vizuri siku zake anashindwaje kupambana na vishawishi ? Tatizo kubwa naliona kwa dada zetu la kutokujua siku zao.
Alinogewa na utamu huyo msimlaumu
 
Jamaa hana mguu wa kuku? Kwani magunia 2 ya mkaa shilingi ngapi. Natania,asifanye lolote kati ya hayo mawili,kwani huyo binti hana kwao,
 
Habari zenu wana MMU!

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kuna jamaa yangu hapa yupo kwenye mahusiano na mpenzi wake yapata miaka 6 hivi.

Sasa jamaa alipanga na mpenzi wake kwamba binti akimaliza chuo moja kwa moja afikie alipopanga msela asirudi kwao ili waendeleze mahusiano yao wakiwa kwa msela kwani wazazi wao walikua wanafahamu, basi msela kajipanga ghetto ili demu wake akija aje akute fresh lakini cha kushangaza siku dem anakuja kaja na mtoto mdogo wa miezi tisa.

Alf anamwambia msela alibeba mimba kwa bahati mbaya akaogopa dhambi ya kutoa.

Jamaa yupo njia panda haamini.....
Mbaya zaidi kuna ada alilipa wakati binti yupo chuo na pesa ndogo ndogo alkua akimtumia.

Kaja kuniomba ushauri amtimue dem au maana kampa siku tatu asimkute maana kamsusia hadi ghetto msela karudi kulala kwao.

Binti nae anadai baba mwenye mtoto kamkataa.

Kuna kipindi dem hakurudi kwao akiisingizia anasubiri amalize kabisa maana alkua kabakiza mwaka wa mwisho na ndo kipindi kumbe alkua analea mimba

Mi nimemshauri amtimue tu maana kesho hakawii kuleta mengine.
Pole sana
 
Habari zenu wana MMU!

Niende moja kwa moja kwenye mada.

Kuna jamaa yangu hapa yupo kwenye mahusiano na mpenzi wake yapata miaka 6 hivi.

Sasa jamaa alipanga na mpenzi wake kwamba binti akimaliza chuo moja kwa moja afikie alipopanga msela asirudi kwao ili waendeleze mahusiano yao wakiwa kwa msela kwani wazazi wao walikua wanafahamu, basi msela kajipanga ghetto ili demu wake akija aje akute fresh lakini cha kushangaza siku dem anakuja kaja na mtoto mdogo wa miezi tisa.

Alf anamwambia msela alibeba mimba kwa bahati mbaya akaogopa dhambi ya kutoa.

Jamaa yupo njia panda haamini.....
Mbaya zaidi kuna ada alilipa wakati binti yupo chuo na pesa ndogo ndogo alkua akimtumia.

Kaja kuniomba ushauri amtimue dem au maana kampa siku tatu asimkute maana kamsusia hadi ghetto msela karudi kulala kwao.

Binti nae anadai baba mwenye mtoto kamkataa.

Kuna kipindi dem hakurudi kwao akiisingizia anasubiri amalize kabisa maana alkua kabakiza mwaka wa mwisho na ndo kipindi kumbe alkua analea mimba

Mi nimemshauri amtimue tu maana kesho hakawii kuleta mengine.
Wewe, huyo jamaa pamoja na binti ni wapuuzi.
 
Back
Top Bottom