Ushauri: Kanipiga na mkoba wake akaniumiza alafu ananiomba msamaha

Ushauri: Kanipiga na mkoba wake akaniumiza alafu ananiomba msamaha

Wakuu heshma zenu!!
Wakuu naombeni ushauri wenu!!

Jana wakati niko na shemeji yenu/wifi yenu tulienda kufanya shoping supermarket! Sasa wakati tuko mle ndani tukakutana na werembo wengine!!

Kusema na ukweli kuna mrembo mmoja alipita hata kama ni wewe lazma ungegeuza shingo maana upande wa 0713.

Nadhani muumba ulipapendelea sana!!sasa mimi nikageuza shingo kumtizama kumbe yule shemeji yenu ameshasogea mbele kama hatua 5 na mimi nilikuwa nimesimama naangalia ule mzigo.

Sasa yule shemeji yenu akaja speed na mkoba wake akanipiga nao kichwani mbele za watu akasema ""twende huko unashangaa nini"yaani wakuu nilijisikia aibu sana na isitoshe aliniumiza kichwa na mkoba wake ndani mle sijui aliweka vikopo gani maana kichwa kilivimba hadi leo sijaenda kazini, na tangu jana sijamwambia chochote anaanza kuniomba msamaha.

Wakuu nishaurini nimfanye nini!!
Uwii.. Shukuru yy kakupga na mkoba.. Asee.. Mm ningekuvunja shingo[emoji23]
 
Msamehe tu maana alifanya hvyo kwa kukupenda angekuwa hakupendi asingeweza Kuwa na wivu na wewe
 
Mkate bonge la kibao kisha mwambie mi sijaribiwi na sitajaribiwa.
 
Na yeye si atengeneze 0713 iwe kubwa km za wenzie!!kuna maduka kkoo nasikia wana dawa za kupaka then limzigo linaumuka haswa haswa mmmmm(shk kipoozeo)
 
Mi wakati unaendelea kushangaa ningekufwata taratibu na kukwambia baby wakati unashangaa nimekutana na ex wangu kanipa namba yake mpya
 
Wenzio huwa tunazuga unainama kama vile unafunga kamba ya kiatu kumbe unacheki mzigo sasa wew umegeuka kiboya ndio maana ukapigwa
 
Poleeee mi hua naruhusu aangalie tu,ila nami kikipita kitu aniache niangalie
 
Back
Top Bottom