JMF
JF-Expert Member
- Jun 29, 2013
- 1,758
- 2,770
Wakuu salaam kwenu.
Naomba kujuzwa gharama na ubora kati ya paving blocks au kokoto kwenye eneo la biashara lenye mita za mraba 40. Kama ni kokoto ni za aina gani na kama ni paving block ni zipi.
Pia naomba kusikia experience toka kwa wadau wanaotumia kimoja wapi kati ya hizo kwenye maeneo yao. Asanteni.
Naomba kujuzwa gharama na ubora kati ya paving blocks au kokoto kwenye eneo la biashara lenye mita za mraba 40. Kama ni kokoto ni za aina gani na kama ni paving block ni zipi.
Pia naomba kusikia experience toka kwa wadau wanaotumia kimoja wapi kati ya hizo kwenye maeneo yao. Asanteni.