msangi360
JF-Expert Member
- Jan 4, 2017
- 283
- 309
Nakushauri ununue tractor, safari ya kutoka mwanza mpaka ufike kwenu utakuwa umelima sana hapo njiani. Ukifika unauza tractor unaongeza hela unanunua canter, utabeba mizigo mingi sana wakati unatoka kwenu mpaka ufike mwanza na hiyo canter. Ushauri tu lakin