Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV

Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV

rabadaki

Member
Joined
Mar 13, 2024
Posts
23
Reaction score
37
Ushauri kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya 1HZ au 1GD-FTV

Habari wana JF

Naombeni ushauri wenu je kati ya Toyota landcruiser yenye engine ya
1. 1HZ-manual cc 4,164 CC
au
2. 1GD-FTV automatic 2755 CC

ni ipi bora kwa maana ya
1. matumizi ya barabara ambazo sio za lami kwa kifupi barabara mbovu zenye matope tena za vijijini.
2. Rahisi kupata spare kwa nje ya Dar es Salaam
3. Rahisi kutengenezwa na mafundi hasa mafundi wa nje ya Dar es Salaam.
4. Ingine ipi kati ya hizo inavumilia shida.
5. Ni engine ipi kati ya hizo zimezoeleka na madereva wa nje ya Dar es Salaam
6. Ni engine ipi kati ya hizo hata dereva akiwa hayupo makini sana na uendeshaji bado angalau itadumu?

Natanguliza shukrani zangu za dhati pia kwa heshima na taadhima wafuatao naombeni ushauri wenu please, na wengine pia msiache kunishauri mwana JF mwenzenu.
cc JituMirabaMinne
cc Extrovert
cc Junnie27
cc Hazchem plate
cc PureView zeiss
cc alphonce.NET
cc Offshore Seamen
 
Katika hali za barabara mbovu, upatikanaji wa spare, urahisi wa matengenezo, na uvumilivu, Toyota Land Cruiser yenye injini ya 1HZ ni chaguo bora zaidi. Ingawa yenye 1GD-FTV ina faida zake kama modern technology na better fuel economy, mazingira ya vijijini yanahitaji injini yenye uwezo wa kuvumilia zaidi na rahisi kutengenezwa.
 
Katika hali za barabara mbovu, upatikanaji wa spare, urahisi wa matengenezo, na uvumilivu, Toyota Land Cruiser yenye injini ya 1HZ ni chaguo bora zaidi. Ingawa yenye 1GD-FTV ina faida zake kama modern technology na better fuel economy, mazingira ya vijijini yanahitaji injini yenye uwezo wa kuvumilia zaidi na rahisi kutengenezwa.
Shukrani sana mkuu ubarikiwe
 
Back
Top Bottom