Ushauri katika kujitolea zahanati au kituo cha afya

Kama upo nyamagana nenda pale RAINBOW IPO MAENEO YA SINAI/KOKOTO AU NENDA DIAMONDO(ZAMAN UHURU MAENEO YA KONA YA ISENI) huwa wanachukua sana watu kama ajira fulan hv(unaweza pata kipato na experience)
 
Mm
Pambana kitaa huku unasikilizia hizo ajira unazotaka me nimepiga medical lab nimefanya dispensary nying sana kaz ila sa hv nimeachana nazo nipo tu kitaa napiga mambo mengnim

Za Vijijini ndo poa zaidi waombe nyumba ya kuishi tuu na posho kidogo lazima wakuajiri siku zijazo sema usiweke hela na nyege mbele utaishia pabaya

Ndagha..
Chief huna hela nyege zinatoka wap,🤣 au ni mimi 2 ndo nipo ivo
 
Kama upo nyamagana nenda pale RAINBOW IPO MAENEO YA SINAI/KOKOTO AU NENDA DIAMONDO(ZAMAN UHURU MAENEO YA KONA YA ISENI) huwa wanachukua sana watu kama ajira fulan hv(unaweza pata kipato na experience)
ASANTE SANA ..MCHANGO WENU UNANIPA MWANGA MKUBWA SANA. MUNGU ATIE WEPESI KATIKA SHUGHULI ZENU NA ZANGU PIA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…