chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Sio siri, wenzetu hawa set up ya elimu yao imejibu tatizo la ajira. Ni kawaida kuwasikia wafanyabiashara wa Tanzania wanaoenda China wanakwambia kwamba nenda na sampo tu, mengine mchina anamaliza. Hawa elimu yao Institute mahitaji ya jamii.
Nashauri waalimu na wanafunzi wa elimu ya kati, kuanzia VETA, Dar es Salaam Institute of Technology, Mbeya kuna chuo kikuu cha sayansi, Vyuo via afya, kilimo, na kadhalika. Kila mwaka itengwe skolaship ya wanafunzi wasiopungua 1000. Waende katika vyuo ambavyo havijajikita katika pure academics. Wake huko, wasome weeee. I am sure after 10 years, tutakuwa mbali.
Hata hao ambao Bashe anawapa mashamba ya mifano, I wish pia wangekuwa wanaandaliwa utaratibu wa training kila mwaka kutoka kwa wataalamu wanaofanya kazi hizo.
Ni aibu mpaka leo hata bajaj inatushinda.
Nashauri waalimu na wanafunzi wa elimu ya kati, kuanzia VETA, Dar es Salaam Institute of Technology, Mbeya kuna chuo kikuu cha sayansi, Vyuo via afya, kilimo, na kadhalika. Kila mwaka itengwe skolaship ya wanafunzi wasiopungua 1000. Waende katika vyuo ambavyo havijajikita katika pure academics. Wake huko, wasome weeee. I am sure after 10 years, tutakuwa mbali.
Hata hao ambao Bashe anawapa mashamba ya mifano, I wish pia wangekuwa wanaandaliwa utaratibu wa training kila mwaka kutoka kwa wataalamu wanaofanya kazi hizo.
Ni aibu mpaka leo hata bajaj inatushinda.