DR. MWAKABANJE
JF-Expert Member
- Nov 7, 2012
- 1,976
- 3,130
Habar wanajamvi!
Nataka kumhamisha wife kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine na hatujafunga ndoa kanisani wala bomani, je tunaweza kutumia kiapo cha ndoa ambacho kinaonyesha kama ndoa ya kimila kuambatanisha kwenye maombi ya uhamisho? Asanteni, naamin ntapata majibu sahih hapa!
Nataka kumhamisha wife kikazi kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine na hatujafunga ndoa kanisani wala bomani, je tunaweza kutumia kiapo cha ndoa ambacho kinaonyesha kama ndoa ya kimila kuambatanisha kwenye maombi ya uhamisho? Asanteni, naamin ntapata majibu sahih hapa!