Vyuma vimekaza. Meno ya gear yanapandana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Engine ya gari tena[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Maulidi njema.
Haya magonjwa mengine si ya dunia hii.Vyuma vimekaza. Meno ya gear yanapandana [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Wewe ndiyo hovyo kabisa, badala umwambie amtafute YESU eti tafuta mchungaji wa kipentekoste shida yenu, mnawatafuta sana watumishi wa Mungu zaidi ya mnavyomtafuta Yesu.Mkuu kazania dini na mambo ya sala sana
...sio dalili nzuri kiroho..tafuta mchungaji wa kipentekoste atakuelewesha zaidi
Pole sana nenda hospital usikae, chukua hatua afya ni muhimu saaaana. Ukichelewa watakuja kusema Wamekukamata umeficha magari yao kichwani mwako, hawana dogo hawa!!Hiyo kitu sijawahi jaribu mkuu
hospital wakishindwa nenda kwa sangom mkuuHabari za humu mabibi na mwabwana!!Ni muda mrefu nina tatizo la kichwa!!Nikikaa sehemu tulivu isiyo na kelele kuna hali isiyokuwa ya kawaida naisikia kichwani mwangu!!'Kelele za magari' !Kichwa kinanguruma kama mlio wa gari kubwa!Hakiumi wala sisikii hali yetote iliyotofauti!!Nakereka na hii hali maana muda wote ni kama magari yanapishana kichwani mwangu!!!Kwa kuwa humu kuna wataalamu wa kila aina naombeni msaada wenu!Nini sababu na tiba yake!!Nisaidieni wapendwa
Yesu alipaa kwenda Mbingun zaid ya 2000 years ago. Sasa unaposema amtafute mm unanchanganyaWewe ndiyo hovyo kabisa, badala umwambie amtafute YESU eti tafuta mchungaji wa kipentekoste shida yenu, mnawatafuta sana watumishi wa Mungu zaidi ya mnavyomtafuta Yesu.
Ugua moyoni mwako Mungu hayuko kwa mchunhaji au kwa kanisa fulani yupo rohoni mwako, huwa naumia sana mtu unapoamini sana katika kuombewa bila wewe mwenyewe kujitafakari, YESU hajawahi tibu mtu katika muujiza wake kwa nguvu zake mwenyewe mara zote alisema IMANI YAKO IMEKUPONYA why watu mnaamini sana kuombewa kabla ya toba, kufunga na kuomba na kubadirika kuacha dhambi?????
Acha upimbi basiYesu alipaa kwenda Mbingun zaid ya 2000 years ago. Sasa unaposema amtafute mm unanchanganya
Km imekutach kamtafute wewe umleteAcha upimbi basi