Daffi Jr
JF-Expert Member
- Jun 25, 2011
- 3,824
- 909
Habari za humu mabibi na mwabwana!!Ni muda mrefu nina tatizo la kichwa!!Nikikaa sehemu tulivu isiyo na kelele kuna hali isiyokuwa ya kawaida naisikia kichwani mwangu!!'Kelele za magari' !Kichwa kinanguruma kama mlio wa gari kubwa!Hakiumi wala sisikii hali yetote iliyotofauti!!Nakereka na hii hali maana muda wote ni kama magari yanapishana kichwani mwangu!!!Kwa kuwa humu kuna wataalamu wa kila aina naombeni msaada wenu!Nini sababu na tiba yake!!Nisaidieni wapendwa