Ushauri!!Kichwa kunguruma kama ingine ya gari

Ushauri!!Kichwa kunguruma kama ingine ya gari

Huo ni ugonjwa ndugu yangu, mm mwenyewe nliugua ila kwa sasa unakuja na kutoka. Ugonjwa unaitwa tinitus. Unasikia sauti kikoloni wanaitwa buzzing sound. Na husababishwa na either kutumia headphones kwa sauti ya juu kwa mda mrefu, kama shuguli zako ni dj, ama unafanya kazi kiwandani nankuna kelele nyingi. Inasababishwa na kukaa mda mrefu katika kelele hivyo ngoma ya masikio huathirika na hutuma taarifa kwenye neuron huko ndani kabisa katikati ndo sauti hutokea. Tiba, jiepushe na na kutumia headphone, kusikiliza mziki sauti za juu. Au huwa kuna aina ya miziki ukiwa kazini, ukilala usiku uvae headphone na ufungulie kwa sauti ya chini sana
Afadhali wewe umempa ushauri kuntu... Wengine wanabwabwaja tu kama makondoo yaliyopoteza mwelekeo...
 
Huo ni ugonjwa ndugu yangu, mm mwenyewe nliugua ila kwa sasa unakuja na kutoka. Ugonjwa unaitwa tinitus. Unasikia sauti kikoloni wanaitwa buzzing sound. Na husababishwa na either kutumia headphones kwa sauti ya juu kwa mda mrefu, kama shuguli zako ni dj, ama unafanya kazi kiwandani nankuna kelele nyingi. Inasababishwa na kukaa mda mrefu katika kelele hivyo ngoma ya masikio huathirika na hutuma taarifa kwenye neuron huko ndani kabisa katikati ndo sauti hutokea. Tiba, jiepushe na na kutumia headphone, kusikiliza mziki sauti za juu. Au huwa kuna aina ya miziki ukiwa kazini, ukilala usiku uvae headphone na ufungulie kwa sauti ya chini sana
Tinitus kweli kabisa bila shaka yeyote, cha msingi aende hospitali aonane na ENT Doctor atasaidiwa sana!!!!
 
Habari za humu mabibi na mwabwana!!Ni muda mrefu nina tatizo la kichwa!!Nikikaa sehemu tulivu isiyo na kelele kuna hali isiyokuwa ya kawaida naisikia kichwani mwangu!!'Kelele za magari' !Kichwa kinanguruma kama mlio wa gari kubwa!Hakiumi wala sisikii hali yetote iliyotofauti!!Nakereka na hii hali maana muda wote ni kama magari yanapishana kichwani mwangu!!!Kwa kuwa humu kuna wataalamu wa kila aina naombeni msaada wenu!Nini sababu na tiba yake!!Nisaidieni wapendwa

Understanding Tinnitus -- the Basics

What Is Tinnitus?

Tinnitus (pronounced ti-ni-tis), or ringing in the ears, is the sensation of hearing ringing, buzzing, hissing, chirping, whistling, or other sounds. The noise can be intermittent or continuous, and can vary in loudness. It is often worse when background noise is low, so you may be most aware of it at night when you're trying to fall asleep in a quiet room. In rare cases, the sound beats in sync with your heart (pulsatile tinnitus).

Parts_of_the_Ear.jpg


Tinnitus is very common, affecting an estimated 50 million adults in the U.S. For most people, the condition is merely an annoyance. In severe cases, however, tinnitus can cause people to have difficulty concentrating and sleeping. It may eventually interfere with work and personal relationships, resulting in psychological distress.

Although tinnitus is often associated with hearing loss, it does not cause the loss, nor does a hearing loss cause tinnitus. In fact, some people with tinnitus experience no difficulty hearing, and in a few cases they even become so acutely sensitive to sound (hyperacusis) that they must take steps to muffle or mask external noises.

Some instances of tinnitus are caused by infections or blockages in the ear, and the tinnitus can disappear once the underlying cause is treated. Frequently, however, tinnitus continues after the underlying condition is treated. In such a case, other therapies -- both conventional and alternative -- may bring significant relief by either decreasing or covering up the unwanted sound.


What Causes Tinnitus?
Prolonged exposure to loud sounds is the most common cause of tinnitus. Up to 90% of people with tinnitus have some level of noise-induced hearing loss. The noise causes permanent damage to the sound-sensitive cells of the cochlea, a spiral-shaped organ in the inner ear. Carpenters, pilots, rock musicians, street-repair workers, and landscapers are among those whose jobs put them at risk, as are people who work with chain saws, guns, or other loud devices or who repeatedly listen to loud music. A single exposure to a sudden extremely loud noise can also cause tinnitus.

A variety of other conditions and illnesses can lead to tinnitus, including:

Tinnitus can worsen in some people if they drink alcohol, smoke cigarettes, drink caffeinated beverages, or eat certain foods. For reasons not yet entirely clear to researchers, stress and fatigue seem to worsen tinnitus.The Basics of Tinnitus



Mkuu nitafute mimi nipate kukutibia hiyo Miungurumo yako kwenye kichwa chako.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu
 
Me nahisi masikio yako yana tatizo kwenye ngome zake!!...
 
Mmmh, Hiyo injini inataka kunoki,nenda kwa hospitwali mukuu
 
Mmmh, Hiyo injini inataka kunoki,nenda kwa hospitwali mukuu
 
Duuuh.... mngurumo wa gari !!!!!

Icho kichwaa au exhaust ya mashine ya kukobolea kahawa
 
Ikiingia stage ya kuunguruma kama Gari Moshi mambo yatakuwa yameenda Mlama, jipeleke mwenyewe Milembe
 
Understanding Tinnitus -- the Basics

What Is Tinnitus?

Tinnitus (pronounced ti-ni-tis), or ringing in the ears, is the sensation of hearing ringing, buzzing, hissing, chirping, whistling, or other sounds. The noise can be intermittent or continuous, and can vary in loudness. It is often worse when background noise is low, so you may be most aware of it at night when you're trying to fall asleep in a quiet room. In rare cases, the sound beats in sync with your heart (pulsatile tinnitus).

Parts_of_the_Ear.jpg


Tinnitus is very common, affecting an estimated 50 million adults in the U.S. For most people, the condition is merely an annoyance. In severe cases, however, tinnitus can cause people to have difficulty concentrating and sleeping. It may eventually interfere with work and personal relationships, resulting in psychological distress.

Although tinnitus is often associated with hearing loss, it does not cause the loss, nor does a hearing loss cause tinnitus. In fact, some people with tinnitus experience no difficulty hearing, and in a few cases they even become so acutely sensitive to sound (hyperacusis) that they must take steps to muffle or mask external noises.

Some instances of tinnitus are caused by infections or blockages in the ear, and the tinnitus can disappear once the underlying cause is treated. Frequently, however, tinnitus continues after the underlying condition is treated. In such a case, other therapies -- both conventional and alternative -- may bring significant relief by either decreasing or covering up the unwanted sound.


What Causes Tinnitus?
Prolonged exposure to loud sounds is the most common cause of tinnitus. Up to 90% of people with tinnitus have some level of noise-induced hearing loss. The noise causes permanent damage to the sound-sensitive cells of the cochlea, a spiral-shaped organ in the inner ear. Carpenters, pilots, rock musicians, street-repair workers, and landscapers are among those whose jobs put them at risk, as are people who work with chain saws, guns, or other loud devices or who repeatedly listen to loud music. A single exposure to a sudden extremely loud noise can also cause tinnitus.

A variety of other conditions and illnesses can lead to tinnitus, including:

Tinnitus can worsen in some people if they drink alcohol, smoke cigarettes, drink caffeinated beverages, or eat certain foods. For reasons not yet entirely clear to researchers, stress and fatigue seem to worsen tinnitus.The Basics of Tinnitus



Mkuu nitafute mimi nipate kukutibia hiyo Miungurumo yako kwenye kichwa chako.

Ukiwa na Shida yoyote ile
Usipo pona kwa Dawa za Hospitali nitafute mimi nipate kukutibia upate kupona ukihitaji matibabu yangu
Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Herbalist Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe.fewgoodman@hotmail.com What's App +905344508169 Au Ni add Kwa Facebook tumia jina hili mzizimkavu. Au boonyeza hapa.Mzizi Mkavu

Solution hii hapa sasa mketa uzi
 
Huo ni ugonjwa ndugu yangu, mm mwenyewe nliugua ila kwa sasa unakuja na kutoka. Ugonjwa unaitwa tinitus. Unasikia sauti kikoloni wanaitwa buzzing sound. Na husababishwa na either kutumia headphones kwa sauti ya juu kwa mda mrefu, kama shuguli zako ni dj, ama unafanya kazi kiwandani nankuna kelele nyingi. Inasababishwa na kukaa mda mrefu katika kelele hivyo ngoma ya masikio huathirika na hutuma taarifa kwenye neuron huko ndani kabisa katikati ndo sauti hutokea. Tiba, jiepushe na na kutumia headphone, kusikiliza mziki sauti za juu. Au huwa kuna aina ya miziki ukiwa kazini, ukilala usiku uvae headphone na ufungulie kwa sauti ya chini sana
Dah mi navyopenda mziki aisee, jana tu nimenunua inner ear za Sony EX-88 zinagonga balaa
 
Back
Top Bottom